Jokate ajibu baada ya Alikiba na mama yake kumkana

Historia ya washindi wengi wa miss Tz wametusua kimaisha na nyota zao hazifubai kmJacklin, Faraja nk ila ni kinyume kabisa na hawa; Joket na Wema, sijui walikosea step wapi
Mkuu unaposema nyota kun'gaa una maanisha nini?
 
Hivi huyu Jokate si aliwahi kuwa na MwanaFA akamtosa hadi akaimba bado nipo nipo?
 
Huyu jokate nae ana mambo ya kingese anataka alambwe miguu ndo ajue anapendwa Na atulie... Akafie mbele, jamaa etu anauwezo wa kupata mtoto mzur na mkali kuliko hcho kidada
 
Huyu jokate nae ana mambo ya kingese anataka alambwe miguu ndo ajue anapendwa Na atulie... Akafie mbele, jamaa etu anauwezo wa kupata mtoto mzur na mkali kuliko hcho kidada
Abdukiba povu la nini sasa?
 
Inaonekana jokate hajui kukatika mauno kwenye 6x6 ni mvivu katemwa, sana na mastaa

Kiba alimtumia kupandia ngazi
 
Hivi hawa mabinti mjini Kazi ya kuuza k hawachoki maana Hakuna wanachofanya
 
usijali wakunyumbi mwenzangu mtumaimie mungu umpate wa kaliba yako...natumaini utampata achana na mambo ya Usupastaa unazeesha sana [HASHTAG]#losesomeWinsome[/HASHTAG] [HASHTAG]#Joe[/HASHTAG] Budden
 
Ila wanaume wengine huruma hawana, katoto kama jokate naona kama kametulizana, hana skendo, mtaratibu, mpole, ana sifa zote za kuitwa mwanamke, kiba amezoea magurunyembe that's why, Kidoti mungu atakupa wa aina yako mama
 
Huwa simkubali mwanamke hovyohovyo, ila haka ka meneja kazuri hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…