Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Ile kauli mbiu yake yaAsisahau kupita kwa babu
UWT kuna umafia sana
Usitaje watu wenye heshima zao kulinganisha na huu upuuziUwezo wa Mh Jokate kiuongozi ni mkubwa sana ambapo naamini anakwenda kuipa nguvu kubwa sana jumuiya ya akina mama. Uongozi siyo umri bali ni uwezo wa kuongoza unaochagizwa na Elimu au maarifa,hekima,busara,maono, Utulivu, uvumilivu, kifua na nidhamu katika kuuchunga na kuulinda ulimi wako. Jiulize mwalimu Nyerere alishika uongozi wa Tanu na uwaziri mkuu wa nchi yetu akiwa na miaka mingapi? Emmanueli macron aliingia na kushika uwaziri pamoja na Urais baadaye akiwa na miaka mingapi? Salimu hamed salimu alipewa ubalozi akiwa na miaka mingapi? Unafahamu hadhi ya ubalozi? Barack Obama au John F Kennedy was marekani walishika urais wakiwa na miaka mingapi kwa Taifa kubwa kama lile? Mzee Warioba alishika na kuanza uongozi mkubwa akiwa na umri wa uzee?
Jokate ni nyota Ing'aayo Gizani na kuwamulikia watu na kuwapatia matumaini. Mh Jokate atafika mbali sana kiuongozi katika Taifa letu.Ni kijana msomi na mchapa kazi sana.Ni kijana mbunifu na mwenye maono ya mbali.
Mwache aendelee kukata mauno huku JF. Ila anaweza fikiriwa uDC kwa hizo nafasi walizoacha wakina jokateLucas Mwa........ yupo au bado amelala!
Hahahaaaa! Endelea kuwakubali, siku yako yajaNi bonge moja la kiongozi. Ni kiongozi na kijana ninaye mkubali sana kiuchapa kazi na kiutendaji.
Sidhani kama katibu mkuu anakuwa MB, mwenyekiti ndio anakuwa MB mojakwamojaCheo kikubwa sana kwa umri wake
Nazani ndio bosi wa UWT mwenye umri mdogo kuliko wote waliopita.
Ukitaka kujua ukubwa wa hicho cheo
Tazama majina ya ma X katibu wakuu wa UWT yana watu gani ?
Bosi wa UWT hagombei ubunge wa Viti maalum, anapitishwa moja kwa moja na jina lake linapelekwa tume ya uchaguzi (la kwanza). Hivyo jokate anakuwa kiti maalumu wa kwanza wa ccm bungeni 2025.
Pili ni mjumbe wa Kamati kuu (CC) ambayo hufanya maamuzi mazito ya chama. Na faida nyinginezo kadhaa ikiwemo ushawaishi kwa mgombea Urais ajaye............Nafasi hii ni muhimu sana kwa Jokate na Mama Samia kuelekea uchaguzi wa 2025
Ndiyo alama yake ya utambulishoHicho Kidude puani siakakitoe
Ebhanaeeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😋Usitaje watu wenye heshima zao kulinganisha na huu upuuzi
Hiyo ilikuwa zamani walishabadilisha toka enzi ya Magufuli akiwa mwenyekiti wa chama ndio maana mama Gaudensia Kabaka hakuwa mbunge na hata huyu wa sasa Mama Chatanda sio mbunge.Sidhani kama katibu mkuu anakuwa MB, mwenyekiti ndio anakuwa MB mojakwamoja
Thanks for the infoHiyo ilikuwa zamani walishabadilisha toka enzi ya Magufuli akiwa mwenyekiti wa chama ndio maana mama Gaudensia Kabaka hakuwa mbunge na hata huyu wa sasa Mama Chatanda sio mbunge.
Hakuna wivu hapo ww mwenye akili ndogo. Hivi kweli ccm hakuna mama mwenye busara na heshma zake mwenye kutunza maadili angekaa hapo. Acha kufikiria kama upepo wa kijambo cha ushuzi[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Donge ?!!
Wivu?!!
Choyo?!!
Husuda?!!
....CCM ni chama chenye mipango bora.....
Kalaghabaho [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Uraisi mnafikiri ni raisi kama kunya chooni hebu kuweni na adabu kidogoJokate atafika mbali sana. Hata urais anaweza akaupata. Sema aliharibu sana kuwepo kwenye list ya wadada waliotafunwa na Simba wa Tandale.
Mbona "huyu tuliyenaye" kagusa?Uwaziri mkuu na urais? Man tukubaliane kuna nafasi nyeti nchi hii si za kupachika watu ilimradi.
Simchukii ila hizo nafasi hato gusa,migumo ya nchi hii inafanya kazi kwa utofauti sana
Mbona "huyu tuliyenaye" kagusa?
Nchi hii kila mtu anaweza kushika nafasi yoyote bila kujali uwezo wake kichwani (ilimradi awe na watu wa kumbeba tu)