Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji2956]Anapenda kuchangamana na jamii, sio kisarawe tu hata huko Tanga nako
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2956]Anapenda kuchangamana na jamii, sio kisarawe tu hata huko Tanga nako
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa ni dhahiri CCM haina watu
Sana.Ameisoma siasa kwa level ya chuo kikuu Daslam.So yupo vizuriNilishaandika humu jukwaani miezi michache iliyopita juu ya mh jokate mwegelo kuwa ni kiongozi mwenye uwezo,bidii ya kazi,uchapa kazi na maarifa ya uongozi. Na nilipendekeza kuwa uchaguzi ujao achukue Fomu ya ubunge. Kwa hakika namtaka kila la heri mh jokate katika majukumu yake mapya ndani ya chama. Ni kiongozi mchapa kazi sana na kijana mbunifu na mwenye uwezo mkubwa sana kiuongozi
[emoji2956][emoji2956]Huyu Dada mpaka sasa hana baya namuombea asibadilike aendelee kuwa na bidii zaidi hata baadaye aje kuwa kiongozi mkubwa zaidi.
[emoji2956][emoji106]Nilishaandika humu jukwaani miezi michache iliyopita juu ya mh jokate mwegelo kuwa ni kiongozi mwenye uwezo,bidii ya kazi,uchapa kazi na maarifa ya uongozi. Na nilipendekeza kuwa uchaguzi ujao achukue Fomu ya ubunge. Kwa hakika namtaka kila la heri mh jokate katika majukumu yake mapya ndani ya chama. Ni kiongozi mchapa kazi sana na kijana mbunifu na mwenye uwezo mkubwa sana kiuongozi
[emoji2956]Ni bonge moja la kiongozi. Ni kiongozi na kijana ninaye mkubali sana kiuchapa kazi na kiutendaji.
Kwanini ?!! [emoji15][emoji1787]Hicho Kidude puani siakakitoe
[emoji1787]Ulitaka uchaguliwe wewe?
Au ulitaka achaguliwe nani ili wewe ndio uone ni sawa?
[emoji1787]Chadema bhana [emoji23][emoji23] au ulitaka uchaguliwe ww uwe katibu mkuu wa umoja wa wanawake.?
Umri ?!!!Cheo kikubwa sana kwa umri wake
Nazani ndio bosi wa UWT mwenye umri mdogo kuliko wote waliopita.
Ukitaka kujua ukubwa wa hicho cheo
Tazama majina ya ma X katibu wakuu wa UWT yana watu gani ?
Ni wachache sana watakaokuelewa.Niko nae huku Korogwe la maana silioni.Tanzania ndio nchi pekee ambayo uchapakazi wa mtu unaonekana mitandaoni.
....lini zimemwagika kama maji ya mvua?! [emoji15]Shida mtaani pesa hakuna
[emoji1787]Kuna mahala nilikutana nae, the way alivoniongelesha na kunipa 5, ilibidi baadae nimuulize mtu mwingine uyu ni Jokate uyu wa Kisarawe (back then).
Mungu amsaidie yeye, sio Chama chake.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Kidumu chama cha mapinduzi
....hasidi naye ni MCHAWI!Ni wachache sana watakaokuelewa.Niko nae huku Korogwe la maana silioni.
Mi naona kinampendeza sananikimuoa naenda kukikata. kinaharibu shoo