Sio Kama hatabadilikaUbalozi tena, Sema Uwaziri Mkuu au Uraisi hapo baadae.
Na anastahiri ni Msomi ana Nidhamu na Juhudi ya kazi.
Ki ufupi yuko vizuri kama hata badilika.
Binafsi Nampongeza.
Sema 'kama CCM itashinda uchaguzi 2025'
Maana kwa wanavyozidi kujiharibia wananchi nao wanaona. Kule PPRA umeona madudu?