Wew kweli kukosa marinda kumekuhalibu.Tusi kwa Chadema! Mzee Kenyatta aliwatukana sana.
Mzee kenyatta alikuwa anaijua chadema.
Stupid..hujielewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wew kweli kukosa marinda kumekuhalibu.Tusi kwa Chadema! Mzee Kenyatta aliwatukana sana.
HeeeeMwambie huko Kaburini kuwa Tathimini ya Dunia kwa sasa ( 2017) Tanzania kuna Uhuru wa habari kuliko Nchi zote za EA japokuwa Uhuru huo umeshuka ukilinganisha na 2015 lakin bado tupo juu ya Kenya
Niliwahi kuisikia mtaani hii,kumbe hata wengine wanaijuaJomo Kenyata alishawai kusema:
"Waganda ni sawa na wagonjwa wanaweza kupona mda wowote na wakadai vyao,
Wakenya ni sawa na walio lala usingizi muda wowote wanaweza kuamka na kudai chao,
Ila Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao.
Jomo Kenyata alishawai kusema:
"Waganda ni sawa na wagonjwa wanaweza kupona mda wowote na wakadai vyao,
Wakenya ni sawa na walio lala usingizi muda wowote wanaweza kuamka na kudai chao,
Ila Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao.
Mwimbaji mmoja wa Kenya aliwahi kuimba kabla ya Uhuru wetu kuwa: "Tanganyika ikijanjaruka, Kenya na Uganda wataumana." Inaonekana miaka 60 baada ya Uhuru bado hatujajanjaruka tunazidi kuwa wajinga mpaka hatuwezi hata kuchagua viongozi wazuri huku Kenya na Uganda wakiendelea kupeta kwa kila jambo. Kulikoni? Haiwezekani sababu ikawa ni hili liTanzania lililoundwa kwa aina ya Muungano ambao haujawahi kujaribiwa na kufanikiwa popote toka dunia iumbwe? Muungano wa Amerika (USA) ulianza na nchi 13 sasa umekua zimefikia 50, Jumuiya ya Afrika ya Mashariki ilianza na nchi 3 sasa ziko 6 na mbili zaidi zimetuma maombi ya kujiunga. Pamoja na umoja ni nguvu, hakuna hata nchi moja ikiwa ni pamoja na 8 tunazopakana nazo, imewahi hata kuulizia tu namna ya kujiunga. Tujanjaruke wengine waumane, tusiendelee kuwa laughing stock wa nchi zoteJomo Kenyata alishawai kusema:
"Waganda ni sawa na wagonjwa wanaweza kupona mda wowote na wakadai vyao,
Wakenya ni sawa na walio lala usingizi muda wowote wanaweza kuamka na kudai chao,
Ila Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao.
Alikuwa na akili kubwa sanaJomo Kenyata alishawai kusema:
"Waganda ni sawa na wagonjwa wanaweza kupona mda wowote na wakadai vyao,
Wakenya ni sawa na walio lala usingizi muda wowote wanaweza kuamka na kudai chao,
Ila Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao.
Ila sio kwa kizazi hiki cha sasa kinachojua kubwabwaja nyuma ya keyboard tu.Ipo siku tu yaja, tutafufuka kutoka wafu na kuzidai hizo haki zetu zote tulizipokonywa na hawa wahuni.
We braza kwani lengo lako nini?Ila sio kwa kizazi hiki cha sasa kinachojua kubwabwaja nyuma ya keyboard tu.
Hazina kubwa ya CCM ni uzwazwa wa watanzania.
Lengo langu ni kubwabwaja nyuma ya keyboard baada ya kushiba kande nisubiri usingizi nilale zangu.We braza kwani lengo lako nini?
Kina Lissu ni wanaharakati wanaoharakatia matumbo yao na si uzalendo.Itoshe kusema aliongozwa na hisia. Kina Lissu na wanaharakati wengine wameshaanza kuhoji
Unataka kusema kuwa pamoja na Nyerere kumheshimu Mzee Kenyatta bado alikuwa akiwadharau Watanzania?Huyu Mzee aliona mbali. Sisi ni mithili ya maiti na ndio maana maCCM yanaendelea kutuburuza.View attachment 2991881
Na hii ndio ithibati ya umauti wetu. Kuacha kujadili hoja na kuishia kujadili watu.Hili zee lilikuwa na sura ngumu kama uvungu wa mbupu.
Vipi kuhusu kina Ben Saanane? Chacha Wangwe?Kina Lissu ni wanaharakati wanaoharakatia matumbo yao na si uzalendo.
Upinzani wa kibongo kwa sasa ni kama mwanamke malaya. Kwa kiasi stahiki atasema/kufanya chochote kile ili apate pesa.