Jomo Kenyatta(RIP): Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao

Jomo Kenyatta(RIP): Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao

Embu kwa walio kuwepo Ni kipi kimetokeaa Hadi Nyerere kuambiwa anaongoza maiti zilizo lala naambiwa kuwa alimtamkia wasi wasi

Mm nafikri jomo Kenyatta aliona jins watanganyikaa tulivyo na ndio maaan Hadi leo tumelala na tunapelekeashwa vilivyo na hakuna tunaweza fanya wanao

Imagine bandari ,na madini inauzwaa na Bado tunawapigia makofi walio uza na kuwatetea wanao uzaa HV hzi Ni akili au maiti

Tuseme ukweli watanganyikaa Ni maiti zilizo lala
 
Embu kwa walio kuwepo Ni kipi kimetokeaa Hadi Nyerere kuambiwa anaongoza maiti zilizo lala naambiwa kuwa alimtamkia wasi wasi

Mm nafikri jomo Kenyatta aliona jins watanganyikaa tulivyo na ndio maaan Hadi leo tumelala na tunapelekeashwa vilivyo na hakuna tunaweza fanya wanao

Imagine bandari ,na madini inauzwaa na Bado tunawapigia makofi walio uza na kuwatetea wanao uzaa HV hzi Ni akili au maiti

Tuseme ukweli watanganyikaa Ni maiti zilizo lala
alivyokuwa ana tu treat Nyerere, mtu mwenye uhai hawezi kukubali. We were dead bodies walking. Bado na sasa tu maiti.

Na kweli tu MAITI, kama Kizimkazi anweza kuuza Tanganyika yetu na tumenyamaza, basi TU NI MAITI, TENA ZILIZOOZA NA KUNUKA
 
Embu kwa walio kuwepo Ni kipi kimetokeaa Hadi Nyerere kuambiwa anaongoza maiti zilizo lala naambiwa kuwa alimtamkia wasi wasi

Mm nafikri jomo Kenyatta aliona jins watanganyikaa tulivyo na ndio maaan Hadi leo tumelala na tunapelekeashwa vilivyo na hakuna tunaweza fanya wanao

Imagine bandari ,na madini inauzwaa na Bado tunawapigia makofi walio uza na kuwatetea wanao uzaa HV hzi Ni akili au maiti

Tuseme ukweli watanganyikaa Ni maiti zilizo lala
Kichwa cha mwendawazimu
 
Hiyo statement siikumbuki ila nakumbuka Nyerere alimuita Kenyata Nyang'au.
Sisi tuliishi kwa kuogopana. Kila mtu alikuwa informa wa mwenzie. Wazazi wetu aliojifanya wana midomo, walifirisiwa kila kitu. Huyo ndo Nyerere ninayemfahamu mimi.
 
Mzee Kenyatta aling'amua maagano yaliyowekwa kati ya Nyerere na Shetani juu ya Tanganyika,kwa maagano yale dhahiri Watanganyika ni maiti.Ndiomana unaona tofauti kati ya Watanganyika na Wazanzibar ingawa wote ni Watanzania
 
Mzee Kenyatta aling'amua maagano yaliyowekwa kati ya Nyerere na Shetani juu ya Tanganyika,kwa maagano yale dhahiri Watanganyika ni maiti.Ndiomana unaona tofauti kati ya Watanganyika na Wazanzibar ingawa wote ni Watanzania
Sasa tufanyaje jmn kwa Hali jinsi ilivyo
 
Back
Top Bottom