Jordan imeshapeleka jeshi lake mpakani tayari kwa vita na Israel

Ndio inasababisha mlazimishe ugomvi na kila dini mnaishia kupigwa.
Yale yale ya kupachikana uraia wa Urusi na USA. Hauwezi kujibu swali bila kupachika identity?
 
Askari walioongezwa na waliokuwepo ni marehemu watarajiwa. Ngoja waanzishe vita.
 
Alwaz Hizi taarifa zako sijui huwa unaziokoteza wapi, ninachokijua ndege vita za Jordan zilifanikisha kufanya airdrop ya msaada wa dharula wa madawa huko Gaza kwenye field hospital zilizoanzishwa kwa pendekezo la Jordan na swala hilo lilikuwa coordinated na jeshi la israel lenyewe.
 
baadae msilie?
 
Bro ndani ya wiki chache Gaza imefanywa shamba, watu wanateseka ila wewe umevimbiwa ubwabwa hapo Buza unajipiga kifua.
[emoji23][emoji23][emoji23] uyo jamaa ni mpuuz , yeye anawapa ushind hamas waliojificha mapangon
 
wewe waache waende maana wamedanyanyika kuwa MSHAHALA WA DHAMBI NI SODA YA MILINDA1
 
Jordan hawezi kufanya hiki kitu kabisa!
Anajua mkataba wake na Israel baada kupigwa sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…