Kama una akili timamu huwezi kujiunga na kundi la wajinga.Huo umoja WA kiarabu hauna tofauti na umoja wa Afrika
Au UVCCMHuo umoja WA kiarabu hauna tofauti na umoja wa Afrika
Typo pamoja Jordani ๐ค๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃpiga magaidi hayoNchi ya Jordan imesema haitarusu kombora au makombora au drones za aina yeyote kupita kwenye anga lake kwenda kuishambulia Israel.
Na kama kuna aina yeyote ya silaha itayoonekana kwenye anga lake kwenda Israel basi utatunguliwa mara moja.
Huko mashariki ya kati watu wamechafukwa.
Kama una akili timamu huwezi kujiunga na kundi la wajinga.
Israel Hana ushawishi wowote,Bali marekaniIran alikuwa anamtishia Jordan na Misri bila kujua nguvu na ushawishi wa Isarael na Marekani kwa mataifa ya Mashariki ya kati ni mkubwa kuliko alio nao Irani kwa mataifa hayo.
Za Israel zitapita Jordan kupiga Iran ila za Irani kwenda Israel ni NO
Yaani ukisoma Qur an suratul Munafiqun ndio imetaja hao waarabu tabia yao , ni wanafiki sana mpaka utabiri kwamba ule msikiti pale utavunjwa na wanaisrael na kujenga hekalu lao ni sababu ya unafiki wao .Hao wazungu รguvu Yao inategemea kunafikiana Kwa jamii zingine
Alafu Kanuni Yao ya kushambulia na kuvamia Wengine inawabeba
Asante Jordan๐๐๐๐ฏ๐ด๐ฏ๐ด๐ฏ๐ด๐ฏ๐ด๐๐๐ Haiwezekani wewe ukubali ndugu za Mnyahudi Yesu Kristu aliyebatizwa katika mto wenu na ukawa ndio Mwanza wa ukristu kuikubali kuchezewa chezewa hovyoNchi ya Jordan imesema haitarusu kombora au makombora au drones za aina yeyote kupita kwenye anga lake kwenda kuishambulia Israel.
Na kama kuna aina yeyote ya silaha itayoonekana kwenye anga lake kwenda Israel basi utatunguliwa mara moja.
Huko mashariki ya kati watu wamechafukwa.
๐๐๐๐Jordan hawana tofauti na kajala
Hawana uwezo kutungua kombora za Iran, subirini msikie, Iran sio Libya.Iran alikuwa anamtishia Jordan na Misri bila kujua nguvu na ushawishi wa Isarael na Marekani kwa mataifa ya Mashariki ya kati ni mkubwa kuliko alio nao Irani kwa mataifa hayo.
Za Israel zitapita Jordan kupiga Iran ila za Irani kwenda Israel ni NO
Hovyo kabisa ahahaha๐๐๐๐
Very true kila mtu anaangalia maslahi yake binafsi kwa marekani na washirika wakeHuo umoja WA kiarabu hauna tofauti na umoja wa Afrika