hua nasema waarabu na waafrika tunalingana akili. walichotuzidi waarabu ni kusimamia rasilimali vizuri ya mafuta kwa ustawi wa jamii nzima. hapo nawapa point 3. kwingine ni katambuga kama sisi maniggerUmeona eeeh !! Mda huo Jordan amaeshapokea ndege za kivita za marekani , Kambi ya NATO inajengwa hapo na jiwe la msingi tayari .