Jose Chamilioni amepatwa na nini aisee?

Keshapelekwa Marekani ambako mateja wanahudumiwa kama wagonjwa.

Serikali italipia gharama zote za matibabu yake akiwa huko.

Ukimwi then anakula na pombe kupita kias

Niliwaambia watu kipindi kile ameanguka akiwa amelala kuwa ni pombe .

Yeye alisema alikuwa amerogwa akaandik na nyimbo inaitwa Abayuda akimaanisha watu wabaya wanafiki na walozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…