Lakini tunataka wauaji na waliowatumwa wakamatwe na kuwekwa nguvuni.Mzee Butiku ana busara sana na anawafahamu waandishi wetu wa habari na tabia zao hivyo amezungumza kwa level yao.
Hawezi kufunguka sana maana kitachoandikwa kesho chaweza kuwa ni kitu kingine.
Ila Mzee Butiku na mzee Warioba, Jenerali Ulimwengu na Issa Shivji na watu makini sana na wana hazina ya maarifa.
Kawapa homework wamtafute waziri Masauni wamhoji na hii ndo opportunity kwa Mr Odemba kuitumia.
Mungu atulindeKweli vilikuwepo vikundi vya vijana wa chama cha NAZI cha Hitler na mamluki wa kigeni ndani ya GESTAPO SS waliofadhiliwa na kuratibiwa na machawa wa Hitler ambao waliogopwa na Polisi pia kuogopwa na jeshi rasmi.
Hili kundi la TASK FORCE la paramilitary la watu wasiojulikana Tanzania litakuwa limeundwa kwa mtindo huo huo wa GESTAPO na SS
Huyu mtu Maliyamungu wa Tanzania na wenzie, inatakiwa apatikane, hata kwa kutolewa 'sadaka' si kwa kuuawa bali wafikishwe mahakamani na kuhukumiwa baada ya vyombo rasmi vya ulinzi na usalama kupewa meno kuwakamata ili amiri jeshi mkuu asalimike na fedheha hii kwa taifa, ijulikane kama je viliundwa na mtangulizi kiasi rais aliyepo anaagwaya kuvikabili.
Lakini umma wa ndani tayari kupitia kelele za wananchi zinampa mamlaka rais awashughulikie kwa mujubu wa sheria Maliyamungu na wavuta bangi wenzie wote waliopo katika Task Force.
Wauaji wanapoona ni halali kuua na haki yao kulindwa, akitokea mtu akitaka kubadili hali ya mambo watambishia, na ndipo machafuko huanza.Nchi nyingi zinazoelekea kwenye machafuko dalili zake huwa ni extrajudicial killings na kupotezwa kwa raia na mambo kama hayo.
Bangladesh ni mfano mmojawapo na mwishoe waziri mkuu Hasina akasepa.Nchi nyingi zinazoelekea kwenye machafuko dalili zake huwa ni extrajudicial killings na kupotezwa kwa raia na mambo kama hayo.
That means wakishaenda Rogue ni vigumu kuwarudisha?!Wauaji wanapoona ni halali kuua na haki yao kulindwa, akitokea mtu akitaka kubadili hali ya mambo watambishia, na ndipo machafuko huanza.
Ndio mzee Butiku kawaasa wanahabari kwenda kumuuliza Spika kwanini alisema huvyo?Spika alidai hakuna utekaji. Alifoka sana.
Alisema watu wanatekwa na wachawi
Waeleweka mkuu.
Acha ujinga wewe, yaani wajichunguze wenyewe?Mbona taarifa nyingi
Vyombo vya ulinzi vipewe nafasi vifanye uchunguzi vilete taarifa
Wameshasema wanachunguza sasa jamii itulie isubiri taarifa
Matamko yanatosha sasa
Au kwa lugha nyingine , tutawashngaa TISS, Polisi na hata Jeshi letu(kwa kiasi) wasipowaleta hadharani hawa wauaji.TAARIFA YA TAASISI YA MWALIMU NYERERE KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TABIA MBAYA ZINAZOHATARISHA USALAMA WA MAISHA YA WATANZANIA NA MALI ZAO
Ndugu wanahabari nimewaiteni hapa, kuwaombeni kwanza; muisaidie Taasisi ya Mwalimu Nyerere kuwataarifu Watanzania wote na kuwaomba sisi sote tushirikiane kuunga mkono kwa dhati Rais wetu Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada anazofanya za kukomesha tabia mbaya zilizozuka katika Taifa letu za kulawiti, kuteka, kunyanyasa na kuua Watanzania wenzetu.
Tunaye Rais mmoja tu sio wawili wala watatu tuliye mkabidhi Katiba ya nchi yetu ili aitumie kuongoza Taifa letu na kulinda na kuhakikisha usalama wa Watanzania wote na wageni halali wanaoingia katika Taifa letu, na pia kulinda mali zetu. Huu ni wajibu wa Kikatiba wa Rais wetu anautekeleza kwaniaba yetu tumuunge mkono bila maswali.
Pili: kupendekeza kwa Watanzania wote, wananchi na viongozi, kukubali kwamba Taifa letu si la wauaji wala la wahuni, ni Taifa la watu wanaoishi kwa kuzingatia Katiba ya nchi yetu na sheria zinazotokana na Katiba hiyo sisi sote tunao wajibu wa kufuata na kutii Katiba yetu na sheria zote zinazotokana Katiba hiyo, na ambazo hazikiuki Katiba. Hakuna nafasi wala ruhusa kwa raia yoyote wa nchi hii kuishi nje ya utaratibu huu. Huu ndio msingi wa amani, umoja, na maendeleo yanayo shirikisha wananchi wote kwa faida yao. Kwa maana hii, sisi Watanzania ni wastaarabu.
Tusiseme hatuwajui wahalifu hao, tunawajua. Wanaishi miongoni mwetu na katika kaya zetu, wako ndani ya vyombo vyetu vya dola, wako makanisani na katika misikiti. Tunawajua, lazima serikali yetu iwajue. Kwahiyo Taasisi ya Mwalimu Nyerere inaomba tumsaidie Rais kupata taarifa sahihi kuhusu wabaya wetu hao ili achukue hatua stahili. Anavyo vyombo vya dola vyenye majukumu mahsusi ya kumpa taarifa za uhakika. Nchi yetu imeviwezesha kuwa na uwezo wa kutosha wa utaalamu na
Kasema Kwa uwazi kabisa. Hoja kuntu kama hii nashangaa watu hawajaiona.Ndio mzee Butiku kawaasa wanahabari kwenda kumuuliza Spika kwanini alisema huvyo?
Kifupi Mzee Butiku kasema "Watanzania ni waoga", "Waandishi wa habari ni waoga"
Well Noted Mkuu.....waandishi wote wamewekeza kwenye UCHAWA....misingi ya uwandishi hakuna tenaNdio mzee Butiku kawaasa wanahabari kwenda kumuuliza Spika kwanini alisema huvyo?
Kifupi Mzee Butiku kasema "Watanzania ni waoga", "Waandishi wa habari ni waoga"
Kwahiyo kuna NJAMA?!
Kwahiyo kuna NJAMA?!
Tukiahirisha kufikiri kizalendo tunawaita wasiojulikana, yaani unawajua lakini unajizima data na kusema huwajui, kwakuwaita wasiojulikanaTAARIFA YA TAASISI YA MWALIMU NYERERE KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TABIA MBAYA ZINAZOHATARISHA USALAMA WA MAISHA YA WATANZANIA NA MALI ZAO
Ndugu wanahabari nimewaiteni hapa, kuwaombeni kwanza; muisaidie Taasisi ya Mwalimu Nyerere kuwataarifu Watanzania wote na kuwaomba sisi sote tushirikiane kuunga mkono kwa dhati Rais wetu Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada anazofanya za kukomesha tabia mbaya zilizozuka katika Taifa letu za kulawiti, kuteka, kunyanyasa na kuua Watanzania wenzetu.
Tunaye Rais mmoja tu sio wawili wala watatu tuliye mkabidhi Katiba ya nchi yetu ili aitumie kuongoza Taifa letu na kulinda na kuhakikisha usalama wa Watanzania wote na wageni halali wanaoingia katika Taifa letu, na pia kulinda mali zetu. Huu ni wajibu wa Kikatiba wa Rais wetu anautekeleza kwaniaba yetu tumuunge mkono bila maswali.
Pili: kupendekeza kwa Watanzania wote, wananchi na viongozi, kukubali kwamba Taifa letu si la wauaji wala la wahuni, ni Taifa la watu wanaoishi kwa kuzingatia Katiba ya nchi yetu na sheria zinazotokana na Katiba hiyo sisi sote tunao wajibu wa kufuata na kutii Katiba yetu na sheria zote zinazotokana Katiba hiyo, na ambazo hazikiuki Katiba. Hakuna nafasi wala ruhusa kwa raia yoyote wa nchi hii kuishi nje ya utaratibu huu. Huu ndio msingi wa amani, umoja, na maendeleo yanayo shirikisha wananchi wote kwa faida yao. Kwa maana hii, sisi Watanzania ni wastaarabu.
Tusiseme hatuwajui wahalifu hao, tunawajua. Wanaishi miongoni mwetu na katika kaya zetu, wako ndani ya vyombo vyetu vya dola, wako makanisani na katika misikiti. Tunawajua, lazima serikali yetu iwajue. Kwahiyo Taasisi ya Mwalimu Nyerere inaomba tumsaidie Rais kupata taarifa sahihi kuhusu wabaya wetu hao ili achukue hatua stahili. Anavyo vyombo vya dola vyenye majukumu mahsusi ya kumpa taarifa za uhakika. Nchi yetu imeviwezesha kuwa na uwezo wa kutosha wa utaalamu na
Acha upuuzi wako ! Walikuwa wapi kufanya uchunguzi mpaka Rais awaagize!Mbona taarifa nyingi
Vyombo vya ulinzi vipewe nafasi vifanye uchunguzi vilete taarifa
Wameshasema wanachunguza sasa jamii itulie isubiri taarifa
Matamko yanatosha sasa