Hukutaka tu/hutaki kujibu swali ambalo liko 'straight forward' kabisa, sijui kwa sababu zipi hasaKivipi,
Sasa Mzee Kingunge mbwa umfuge mwenyewe, Badala ya kung'ata waizi ,anang'ata wanao nawe huna habari!!
Nimeuliza hilo swali rahisi kwa sababu sijui jibu lake.