Vipi hivi ukimwi Ile siku unampima ilikua Tarehe ngapi?Ukimwi ndo source ya kuugua Figo.
This is Fucking Government And Africa is cursed continent ,Bro!
Tafadhali weka mahaba pembeni changia ukiwa na akili huru za utu,maisha ya matibabu Tanzania ni mabaya sana usiombe yakukute hasa uwe huna hela.
Naandika haya nimeshuhudia yupo mtu anakosa 500/= ya kununua paracetamol atulize maumivu ili ajue aende akafie wapi na yupo duka la dawa la serikali na hakuna anayemsikiliza,mimi sina roho mbaya kwamba sitaki Jay apone nazungumza uhalisia wa maisha ya Mtanzania wa hali ya chini yule asiyeijua leo yake ataiishi vipi.
Wewe nawe,story ni ndefu ngoja nikae kimya.Ila jua tu Huyo alizembea kunywa dawa.Mtu ukiwa unakunywa dawa vizuri.Ukimwi si tishio tena.Bungeni kuna lundo la waathirika mbona hawako kama J ? mkuu ni vema unyamaze badala ya kuropoka , utadhalilika
Sijakataa, sijakubali. Nimekwambia ni daktari wake tu ndo anaweza kusema haya uliyoyasema na madaktari hawana mihemko ya kuleta mitandaoni mambo kama haya. Sasa Wewe umeyajulia wapi?Kwani Ukimwi si upo?Unakataa nini sasa?
Acha maswali ya kitoto.Na si lazima uamini .Sijakataa, sijakubali. Nimekwambia ni daktari wake tu ndo anaweza kusema haya uliyoyasema. Wewe umeyajulia wapi?
Wewe jamaa una roho ya uchawi Sana.Wewe nawe,story ni ndefu ngoja nikae kimya.Ila jua tu Huyo alizembea kunywa dawa.Mtu ukiwa unakunywa dawa vizuri.Ukimwi si tishio tena.
Sina sababu yoyote ya kukuamini sababu Wewe ni mwanamke usiyethamini privacy za binadamu wengine. Watu wa aina yako husambaza lolote ilimradi kalisambaza na hata kama upo sahihi Suala la UKIMWI ni suala binafsi, mhusika ndo mwenye uhuru wa kulisemea hivyo unabaki kuwa MWANAMKE USIYEHESHIMU PRIVACY YA BINADAMU WENGINE.Acha maswali ya kitoto.Na si lazima uamini .
Kwahyo tuseme na azizi ki naye anpiga Sana tungiSipendi kusema watu lakini mdomo wake umelika kwasababu ya pombe. Ujumbe hapa ukifika miaka 40 jitahidi achana na pombe za kuzidi, sukari, vyakula vya wanga, fanya mazoezi na medical check up!. Bila kuelezana ukweli na vitu vilivyo changia tatizo lakini hatuta tenda haki kutoa elimu ya afya. Pole sana Prof Jay
Kama ommy dimpozNataman hizo shukran azitoe kwa njia ya wimbo
MUNGU aendelee kumpigania sio kumpiga.Kuishi ni kazi ngumu sana, MUNGU aendelee kumpiga
Mtu alikuwa anaumwa halafu unauliza mbona kakonda?Hivi akili zenu mmezitunzia wapi?Povu la nn ? Wewe jibu swali la mleta uzi. Mbona kakonda sana?
Sawa malaika....Ukimwi mbaya,jamaa kakonda kawa mdogo utafikiri ndo kwanza kamaliza form six.Sasa asiache dozi kabisa.
Asante ilikua ni typing error 🙏MUNGU aendelee kumpigania sio kumpiga.