Joseph Haule (Prof. Jay): Sasa nipo Imara, Namshukuru Rais Samia, Mbowe, Watanzania na Familia. See you soon

Maswali mengine yanashangaza.

Mtu ameumwa kwa zaidi ya mwaka, halafu unashangaa kuona kapungua mwili!

Lililo muhimu ni kubwa kuliko yote, ndugu yetu yu hai, na anazidi kuimarika. Ameamka akiwa na kumbukumbu yake kamili. Kukaa ICU kwa siku zote hizo, angeweza kupoteza hata kumbukumbu.

Mungu yu mwema, tunashukuru kwaajili ya ndugu yetu J kuupata uponyaji.
 
This is Fucking Government And Africa is cursed continent ,

Najua vizuri what peoples going through so Tunaomba sir God laana iwe Juu Yao Viongozi wote wa Africa , Prof got VVIP treatment the first reason it was deu to his Fame and political mileage
 
Acha maswali ya kitoto.Na si lazima uamini .
Sina sababu yoyote ya kukuamini sababu Wewe ni mwanamke usiyethamini privacy za binadamu wengine. Watu wa aina yako husambaza lolote ilimradi kalisambaza na hata kama upo sahihi Suala la UKIMWI ni suala binafsi, mhusika ndo mwenye uhuru wa kulisemea hivyo unabaki kuwa MWANAMKE USIYEHESHIMU PRIVACY YA BINADAMU WENGINE.
 
Kwahyo tuseme na azizi ki naye anpiga Sana tungi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…