Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tajiri wetu wa Bill Lugano akachukua fomu.Safi sana
Ni haki yake
Hata nyie hamjaZUIWA kama mnavigezo mkachukue form
Ova
Pengine yeye ndiye anaweza kuwa bora.Huyo jamaa ile PhD aliyopewa uchochoroni ndio imempa confidence kihivyo..!!
Lakini yote ni sawa tu kwa sababu kwa hili wanaloita bunge mtu yeyote yule anaweza kuwa spika na labda hata huyo msukuma ni nafuu maanake hakuna bunge pale kwa maana halisi ya neno lenyewe, ile kwa lugha nzuri ni "Halmashauri Kuu ya Ccm".
Ni la 7 lakini Yuko vyema,tofauti na PhD,'s wasio jitambua.Darasa la 7 watapata spika
Kichaa sio lazima avae nguo kichwaniUnamaanisha Dr Joseph Kasheku Msukuma ni kichaa?
Degree holders wote wameatuangusha ktk nafasi ya uspika ukiondoa wale wa miaka ya 2000 kurudi nyuma.Mbunge wa jimbo la Geita vijijini Dr Joseph Kasheku Musukuma amechukua Fomu ya kugombea uspika wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam
Kweli ngoja tuwape nafasi kwanza.Degree holders wote wameatuangusha ktk nafasi ya uspika ukiondoa wale wa miaka ya 2000 kurudi nyuma.
Sasa ni wakati wa kujaribu hawa wa level za kawaida,uzoefu unaonyesha hawa uwa wanakuwa wazuri sana na sio watu wa kujipendekeza
Kihiyo Alikuwa Mwanachama Wa Ccm Full Ujanjaujanja Mpaka Waliposhtuka Muda UmekwendaHivyo lolote linaweza kutokea juu ya nafasi ya uspika.
CV ya Dr Msukuma ni kubwa sana kichama, kwanza amewahi kushika nafasi ya juu kichama mkoani kwa kuwa mwenyekiti wa CCM wa mkoa, anauzoefu bungeni kwa kuwa mbunge vipindi viwili.Ni mfanyabiashara na mkulima pia.Nadhani kati ya wagombea wengi yeye ni kati ya wachache wenye sifa kuu.ApeweMsukuma apewe kurw za ndiyo kwanz ana PhD jamani mkumbuke hilo🤣🤣🤣