Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Iwapo waenguaji watapewa kaziSifikirii Kama TAL anaweza kutoboa japo inawezekana Ila sifikirii kuhusu hilo swala kutokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwapo waenguaji watapewa kaziSifikirii Kama TAL anaweza kutoboa japo inawezekana Ila sifikirii kuhusu hilo swala kutokea.
Pamoja na miujiza yote, kufufua wafu, kuwalisha chakula maelfu, lakini bwana Yesu alisalitiwa kwa vipande vichache vya fedha.Nakushauri sugu na wajumbe wengine jitokezeni kumliwaza mbowe aka tapeli kuwa mpo pamoja naye na system waone kuwa atashinda ila siku ya kupiga kura afanyiwe surprise kwa kupata kura 1 ya kwake.mimi sina wasiwai na wajumbe Lisu atapata zaidi ya kura 1,000.
Huenda, maana wanajuana haoHuwenda sugu amezisoma alama za nyakati ambazo wewe huzijui
WanaCCM tunaunga mkono hii comment yako.Uchaguzi ni kampeni za pande zote, hawa wanasema mchague huyu wale wanasema mchague yule, wengine wanasema wakatae wote mchague wa kwetu, ndio Demokrasia hiyo, CCM hamkuzoea haya mambo, poleni sana
Kitu cha msingi katika siasa ni kuepuka kuleta irreparable division ndani ya chama. Historically, vyama vyetu vingi vimedhoofika vibaya baada ya kukumbwa na ugomvi wa madaraka!Kama CDM wameamua kufanya uchaguzi wa mwenyekiti maana yake ni Demokrasia na Kila mtu ana haki yakuchagua ampendaye.
Swali: kwenye Katina ya CDM kuna mahala panakataza kumuunga mkono Mbowe au Lissu?, kwenye Katiba ya CDM kuna mahala pameandikwa ukishakuwa mwenyekiti huruhusiwi tena kugombea?
Sizani kama ni kweli.Huwenda sugu amezisoma alama za nyakati ambazo wewe huzijui
Ya ana haki ya kuchagua lkn sio kujionesha live kuwa yeye ni chawa wa Mbowe na wakati dalili zote zinaonesha kuwa Mbowe atashindwa.Jumla Yao wapo 356 hiyo ni idadi ndogo Sana.
Anahaki kuchagua
Kwamba balozi wa Marekani amuingize chaka mjanja wa Mbeya.!Atakuwa ameshaurisa na Balozi wa Marekani
Uongo mtupu!Hakuna uwezekano wa uchaguzi kuwa wa haki maana shoo nzima inasimamiwa na mboga mboga ambao wanataka M/kiti awe Mbowe na Makamu M/kiti awe Wenje
Mngekuwa na demokrasia ndani ya chama makamu wenu asingesema kwamba hela za mama Abdul zimetumika kuvuruga uchaguzi.Uchaguzi ni kampeni za pande zote, hawa wanasema mchague huyu wale wanasema mchague yule, wengine wanasema wakatae wote mchague wa kwetu, ndio Demokrasia hiyo, CCM hamkuzoea haya mambo, poleni sana
Lowassa hakupigiwa kura alikatwa, Lissu hatokatwa atapigiwa kura, mnapoandika hebu wekeni hoja vizuri basiNgumu sana TAL kutoboa pale.. ni kama yaliyomkutaga Lowassa pale Dodoma alipokatwa.... hii ni 100%
Umeandika kweli mkuu.Hakuna cha demokrasia, inajulikana sugu alibebwa na pesa chafu ya abdul kuupata uwenyekiti wa kanda.
Ngedere kashibaHabari zenu wanaJF wenzangu
Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.
Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.
Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.
Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Lema pekee anajielewaHabari zenu wanaJF wenzangu
Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.
Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.
Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.
Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Mimi siyo fala kama unavyodhaniMngekuwa na demokrasia ndani ya chama makamu wenu asingesema kwamba hela za mama Abdul zimetumika kuvuruga uchaguzi.
Hivi wewe na yeye ni nani anaejua siri za ndani ya chama?
Mbowe ni tishio ni mtu hatari.Habari zenu wanaJF wenzangu
Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.
Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.
Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.
Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Inawezekana hakuna mahala palipoandikwa kwamba ukishakuwa mwenyekiti huruhusiwi kugombea.Kama CDM wameamua kufanya uchaguzi wa mwenyekiti maana yake ni Demokrasia na Kila mtu ana haki yakuchagua ampendaye.
Swali: kwenye Katina ya CDM kuna mahala panakataza kumuunga mkono Mbowe au Lissu?, kwenye Katiba ya CDM kuna mahala pameandikwa ukishakuwa mwenyekiti huruhusiwi tena kugombea?