Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #41
Sikusema wewe fala, labda unaniongezea maneno kwenye comment yangu.Mimi siyo fala kama unavyodhani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikusema wewe fala, labda unaniongezea maneno kwenye comment yangu.Mimi siyo fala kama unavyodhani
Nimeuliza tu swali ambalo haujalijibu.Mimi siyo fala kama unavyodhani
Ila msitutumie waenguaji na wale wasimamizi wasaidizi tu.WanaCCM tunaunga mkono hii comment yako.
Wote wanaomuunga mkono Sultani Mbowe ni akili ndogo!。Habari zenu wanaJF wenzangu
Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.
Swadakta kabisa mkuu P.Wote wanaomuunga mkono Sultani Mbowe ni akili ndogo!。
P
Ndio maana kuna uwezekano mkubwa kwamba Lisu akishinda Sugu atatimkia chama kingine.Kwenye uchaguzi wa Mwenyekit Kanda ya Nyasa Mbowe ndio alimpa uenyekit Sugu dhidi ya Msigwa wa Lissu.
Mpaka dakika hii Msigwa na Sugu hawana maelewano .
Akishinda Lissu litakuwa pigo kubwa Kwa Sugu.
Sugu naye ni dikteta wa kugandia nafasi miaka nenda miaka rudiHabari zenu wanaJF wenzangu
Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.
Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.
Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.
Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Mnaomkubali Lissu ni ninyi Chadema Keyboard Warriors. Lakini wapiga kura halisi na wanachadema wa ukweli HAWAWEZI kumpigia kura Lissu kwa maana wanamjua HANA AKILI!Habari zenu wanaJF wenzangu
Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.
Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.
Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.
Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
... hela ya mama Abduli ikatumiwa kununua bia na vitimito Iringa!Hakuna cha demokrasia, inajulikana sugu alibebwa na pesa chafu ya abdul kuupata uwenyekiti wa kanda.
Sugu kaingizwa CHADEMA na Mbowe personally. Wakati anaitwa na Mbowe kujiunga na CHADEMA tulikuwa naye New York City alikuwa anashughulikia deal zake za projects za Malaria. Akatuambia Mbowe kamuita Bongo anamtaka aingie CHADEMA, Sugu alikuwa hajaamua bado aingie CHADEMA au ampotezee Mbowe, akatuuliza aingie au asiingie CHADEMA?Habari zenu wanaJF wenzangu
Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.
Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.
Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.
Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
P,mimi sitashangaa kwa media taicoon kama wewe kuunga mkono upande unaoididimiza jamii na kuwapa promo watesi wa wenye nchi.Wote wanaomuunga mkono Sultani Mbowe ni akili ndogo!。
P
... hivi unafikiri Jiwe angeanza kuwananga watangulizi wake kabla ya kuteuliwa angeambulia kitu?Inawezekana hakuna mahala palipoandikwa kwamba ukishakuwa mwenyekiti huruhusiwi kugombea.
Lakini kuna mazingira fulan ambayo unaona kabisa kwamba ukiendelea kugombea utakigawa chama au kukiuwa kabisa. Hivyo kiakili na kiungwana unaamua kuridhika na miaka zaidi ya 20 uliyotawala ili kumpa nafasi na mungine aje ajaribu kuleta mabadiliko ndani ya chama.
Yule uliemuachia akishindwa basi uchaguzi mungine unagombea ili kukijenga chama upya.
Sema mwamba kanunulika acha kupata kigugumizi kama chawa na washirika wao walivyonunulika hata chawa wa covid ule ni mradi wa mbaaaliii.... hivi unafikiri Jiwe angeanza kuwananga watangulizi wake kabla ya kuteuliwa angeambulia kitu?
KOSA LA LISSU NI KUMNANGA 'INCUMBENT' KIASI CHA KUMPA MAAMUZI YA HASIRA!
Huyo incumbent ana kura ngapi anazopiga za ziada tofauti na wajumbe wengine?... hivi unafikiri Jiwe angeanza kuwananga watangulizi wake kabla ya kuteuliwa angeambulia kitu?
KOSA LA LISSU NI KUMNANGA 'INCUMBENT' KIASI CHA KUMPA MAAMUZI YA HASIRA!
VETO$!Huyo incumbent ana kura ngapi anazopiga za ziada tofauti na wajumbe wengine?
Uongo mtupu!
Sugu ni kati ya wanachama wa CHADEMA wa Siasa za wastani,Habari zenu wanaJF wenzangu
Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.
Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.
Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.
Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Matamanio yenu ilikuwa Mbowe abaki peke yake ndiyo mfurahi? Hakika mmeyakanyaga!Habari zenu wanaJF wenzangu
Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.
Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.
Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.
Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.