Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) kajidhalilisha sana kuungana na Mbowe ili kumkabili Lissu

Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) kajidhalilisha sana kuungana na Mbowe ili kumkabili Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.
Wote wanaomuunga mkono Sultani Mbowe ni akili ndogo!。
P
 
Kwenye uchaguzi wa Mwenyekit Kanda ya Nyasa Mbowe ndio alimpa uenyekit Sugu dhidi ya Msigwa wa Lissu.

Mpaka dakika hii Msigwa na Sugu hawana maelewano .

Akishinda Lissu litakuwa pigo kubwa Kwa Sugu.
Ndio maana kuna uwezekano mkubwa kwamba Lisu akishinda Sugu atatimkia chama kingine.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Sugu naye ni dikteta wa kugandia nafasi miaka nenda miaka rudi
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Mnaomkubali Lissu ni ninyi Chadema Keyboard Warriors. Lakini wapiga kura halisi na wanachadema wa ukweli HAWAWEZI kumpigia kura Lissu kwa maana wanamjua HANA AKILI!
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Sugu kaingizwa CHADEMA na Mbowe personally. Wakati anaitwa na Mbowe kujiunga na CHADEMA tulikuwa naye New York City alikuwa anashughulikia deal zake za projects za Malaria. Akatuambia Mbowe kamuita Bongo anamtaka aingie CHADEMA, Sugu alikuwa hajaamua bado aingie CHADEMA au ampotezee Mbowe, akatuuliza aingie au asiingie CHADEMA?

Tukamwambia ingia ukachukue jimbo uendeleze harakati bungeni.

Kwa hiyo Mbowe amekuwa kama Godfather wa Sugu ndani ya CHADEMA kutoka anajiunga, Mbowe ndiye aliye m recruit Sugu CHADEMA, mara nyingine hizo ties ni vigumu kuzivunja.
 
Inawezekana hakuna mahala palipoandikwa kwamba ukishakuwa mwenyekiti huruhusiwi kugombea.

Lakini kuna mazingira fulan ambayo unaona kabisa kwamba ukiendelea kugombea utakigawa chama au kukiuwa kabisa. Hivyo kiakili na kiungwana unaamua kuridhika na miaka zaidi ya 20 uliyotawala ili kumpa nafasi na mungine aje ajaribu kuleta mabadiliko ndani ya chama.

Yule uliemuachia akishindwa basi uchaguzi mungine unagombea ili kukijenga chama upya.
... hivi unafikiri Jiwe angeanza kuwananga watangulizi wake kabla ya kuteuliwa angeambulia kitu?
KOSA LA LISSU NI KUMNANGA 'INCUMBENT' KIASI CHA KUMPA MAAMUZI YA HASIRA!
 
... hivi unafikiri Jiwe angeanza kuwananga watangulizi wake kabla ya kuteuliwa angeambulia kitu?
KOSA LA LISSU NI KUMNANGA 'INCUMBENT' KIASI CHA KUMPA MAAMUZI YA HASIRA!
Sema mwamba kanunulika acha kupata kigugumizi kama chawa na washirika wao walivyonunulika hata chawa wa covid ule ni mradi wa mbaaaliii.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Sugu ni kati ya wanachama wa CHADEMA wa Siasa za wastani,

Ana ukaribu na Samia,akiwa na jambo lake anaweza kumwalika Rais kirahisi na akaja.

Kwahiyo lazima awe upande ambao serikali inashirikiana upande wa Mbowe,Kifupi sugu anafanya betting ya ya WIN kosa, alitakiwa afanye Double chance kuwa neutral.

Namuonea huruma, LISSU atashinda umwenyekiti kwa mfano na mfumo wa MWABUKUSI alivyoshinda Tanganyika Law society, mwanzo alibezwa sana na Watu.

Sugu kachagua fungu la kukosa!!!
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Matamanio yenu ilikuwa Mbowe abaki peke yake ndiyo mfurahi? Hakika mmeyakanyaga!
 
Back
Top Bottom