Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) kajidhalilisha sana kuungana na Mbowe ili kumkabili Lissu

Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) kajidhalilisha sana kuungana na Mbowe ili kumkabili Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Sugu ni msanii mwenzangu kitaaluma

Empty set inamhusu sana kwenye kumfanyia grading
 
Unamfundisha Jongwe maisha ya siasa za upinzani??
Ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa..anayajua mengi kuliko wewe mleta mada.
Binadam tumeumbwa tofauti kiufahamu, kiujuzi na kifikra.

Anaweza kuwa anajua hili, na mimi namshinda kujua lile.

So mwisho wa siku mjuzi wa kila kitu ni Mungu. Sio jongwe, wewe au mimi.
 
Huwenda sugu amezisoma alama za nyakati ambazo wewe huzijui
Huenda amesoma alama za nyakati kwamba mbowe atatumia ubabe kuendelea na cheo lakini yeye hakutakiwa kuonyesha yuko upande wowote ili wananchi waone kweli wana Chadema wako serious na mabadiliko.
Lakini kitendo cha yeye kuonyesha uchawa kwa mwenyekiti inaonyesha wote ni machawa tu
 
Sugu huwa.rahisi sana kumjua nia yake ni mapato hakuna cha ziada.

Huu uchaguzi unakwenda kuiweka hadharani dhamira kuu ya wanachadema maslahi akina.sugu. mungai. Msigwa. Boni jacob.

Na chadema wazalendo wataka mabadiliko akina lissu. Mdude. Garatwa. Kamwe chadema haitabaki kama ilivyo. Na itapoteza uungwaji mkono mkubwa kuwahi kutokea.
Umeandika maneno ya msingi sana.
 
Hahaha uchaguzi huu ungekuwa mchezo wa mpira au ngumi, ungeingiza pesa nyingi sana.

Na ungekuwa ni mchezo wa kihistoria.

Bado utabaki kuwa uchaguzi wa kihistoria Tanganyika.

ingependeza siku hiyo iwe siku ya mapumziko kitaifa.

CHADEMA iko mioyoni mwa watanganyika.
 
Huenda amesoma alama za nyakati kwamba mbowe atatumia ubabe kuendelea na cheo lakini yeye hakutakiwa kuonyesha yuko upande wowote ili wananchi waone kweli wana Chadema wako serious na mabadiliko.
Lakini kitendo cha yeye kuonyesha uchawa kwa mwenyekiti inaonyesha wote ni machawa tu
Huo ni mtazamo wako mkuu na kuna wengine wana mtazamo tofauti na wako
 
Sugu ni msanii mwenzangu kitaaluma

Empty set inamhusu sana kwenye kumfanyia grading
Nimecheka mpaka nimebanja. Mshaurini msanii mwenzenu asije kupotea mazima siasani 🤣🤣
 
Huenda amesoma alama za nyakati kwamba mbowe atatumia ubabe kuendelea na cheo lakini yeye hakutakiwa kuonyesha yuko upande wowote ili wananchi waone kweli wana Chadema wako serious na mabadiliko.
Lakini kitendo cha yeye kuonyesha uchawa kwa mwenyekiti inaonyesha wote ni machawa tu
Perfect kabisa... Hebu ingia kwa mama sikujua umwambie akupe chai na chapati supu nakuja kulipa mchana 🤣🤣
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Sugu unamuwazia uwaziri?

Form four failure kamwe hawezi ingia baraza la mawaziri Mwana Fa shule ipo kichwani ana MSC 😂😂
 
Sugu unamuwazia uwaziri?

Form four failure kamwe hawezi ingia baraza la mawaziri Mwana Fa shule ipo kichwani ana MSC 😂😂
Anaweza kupewa pande la muda kama shukran ya kujiunga na chama, alaf baadae anaachwa aendelee na maisha yake 🤣🤣🤣
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Wewe ungekuwa ndio Sugu ungekataa Pesa mkuu?
..............Acheni kuwalaumu hawa watu hakuna mbabe wa fedha.

.........
 
Uchaguzi ni kampeni za pande zote, hawa wanasema mchague huyu wale wanasema mchague yule, wengine wanasema wakatae wote mchague wa kwetu, ndio Demokrasia hiyo, CCM hamkuzoea haya mambo, poleni sana
unatia huruma yaani umekuwa mnyonge sana kwakaulizilizokosa matumaini mbowe naondoka mmewako sijui itakuwaje lissu humuwezi
 
Uchaguzi ni kampeni za pande zote, hawa wanasema mchague huyu wale wanasema mchague yule, wengine wanasema wakatae wote mchague wa kwetu, ndio Demokrasia hiyo, CCM hamkuzoea haya mambo, poleni sana
Mbona hoja zinazotolewa na viongoI wa chama kabisa zinakibomoa chama kuliko kukijenga mkuu, shida ni nini
 
Uchaguzi ujao Mdude Nyagali agombanie Ubunge wa Mbeya Mjini, Mdude hawezi kutekwa kupigwa kipigo cha kila aina, ili apige Ndege wawili kwa Jiwe moja Mdude anatakiwa aingie Mjengoni na kumuondoa huyo Spika arudi kulima Matikiti.
VIIVAA Mdude_Nyagali VIIVAA!!!
na watakao mchagua mdude ni watakuwa vichaa wenzie
 
Wewe ungekuwa ndio Sugu ungekataa Pesa mkuu?
..............Acheni kuwalaumu hawa watu hakuna mbabe wa fedha.

.........
Angekula fedha alaf angejifanya amepata dharura ya ghafla ambayo imemfanya asifike mkutanoni 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom