Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) kajidhalilisha sana kuungana na Mbowe ili kumkabili Lissu

Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) kajidhalilisha sana kuungana na Mbowe ili kumkabili Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
unatia huruma yaani umekuwa mnyonge sana kwakaulizilizokosa matumaini mbowe naondoka mmewako sijui itakuwaje lissu humuwezi
Lisu hana hela za mchezo. Hela za Lisu zitatumika kujenga chama na sio kuhonga chawa kama afanyavyo Mbowe.
 
Uchaguzi ni kampeni za pande zote, hawa wanasema mchague huyu wale wanasema mchague yule, wengine wanasema wakatae wote mchague wa kwetu, ndio Demokrasia hiyo, CCM hamkuzoea haya mambo, poleni sana
Hayo mambo ya uchaguzi wa kidemokrasia ni mageni kwa ccm, wamezoea kutoa fomu moja basi, kinachofanywa na CDM ni somo gumu sana kwao
 
Ili la kuanza kukanyaga ardhi ya kaburu kabla ya vijana wengi linachekesha na kufikirisha.
Sera ya ujamaa na kujitegemea haikuwa inaruhusu raia wa Tz kutoka nje ya Tz bila vibali maalum kutoka juu. Kila mtu alitakiwa abaki nchini ili ajenge nchi. Waliotoka nje walikuwa ni wale waliofanikiwa kuzamia meli za Kigiriki ambao hata hivyo walikuwa ni wachache kwa idadi yao.

Mwinyi alipoingia madarakani akauwa sera za kijamaa ambazo zilikuwa zinawafunga watanzania sehem moja kama mabata. Na pia kutengua sera iliyokuwa inazuia watanzania kwenda nje. Baada ya hapo ndo watu wakaanza kupewa ruhusa ya kutoka wakiwemo kina Sugu na wengine.
 
Mbona hoja zinazotolewa na viongoI wa chama kabisa zinakibomoa chama kuliko kukijenga mkuu, shida ni nini
Kampeni ni mapambano, ni minyukano, huyu anasema wamehongwa yule anasema hawajahongwa, huyu anasema Maridhiano ni ubwege yule anasema maridhiano yalikuwa na faida.

Kwenye Chama kilicho hai hayo hayawezi kukosekana
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Kitu ambacho wewe hukijui ni kwamba hata sugu naye ana mishemishe ya biashara ni milionea naye yumo!
 
Pamoja na Msigwa kuwa corrupt, kwenye uchaguzi wa kanda ya Kusini ilikuwa sio rahisi Sugu kumshinda Msigwa, anajua siri ya mchezo.
 
Kampeni ni mapambano, ni minyukano, huyu anasema wamehongwa yule anasema hawajahongwa, huyu anasema Maridhiano ni ubwege yule anasema maridhiano yalikuwa na faida.

Kwenye Chama kilicho hai hayo hayawezi kukosekana
Sawa mkuu, ila kuweni makini tu msikifaidishe chama cha kijani kisa minyukano
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Sugu ni CHAWA promax
 
Sera ya ujamaa na kujitegemea haikuwa inaruhusu raia wa Tz kutoka nje ya Tz bila vibali maalum kutoka juu. Kila mtu alitakiwa abaki nchini ili ajenge nchi. Waliotoka nje walikuwa ni wale waliofanikiwa kuzamia meli za Kigiriki ambao hata hivyo walikuwa ni wachache kwa idadi yao.

Mwinyi alipoingia madarakani akauwa sera za kijamaa ambazo zilikuwa zinawafunga watanzania sehem moja kama mabata. Na pia kutengua sera iliyokuwa inazuia watanzania kwenda nje. Baada ya hapo ndo watu wakaanza kupewa ruhusa ya kutoka wakiwemo kina Sugu na wengine.
Kun watanzania wengi walienda south na kuhusu vibalu hata Sasa watanzania wanaingiza kijanjajanja.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.

Sugu na Mbowe hawana tofauti, siasa kwao ni maslahi. Amechagua sehemu sahihi kwake. Yuko pale leo kwa sababu ya nguvu ya Mbowe. Ndio walivyo kina Boni Yai, na wengine wajasiria mali. Huwezi kuwalaumu.
 
Kitu ambacho wewe hukijui ni kwamba hata sugu naye ana mishemishe ya biashara ni milionea naye yumo!
Lakini kwenye siasa alikuwa anapata hela za bure ambazo hazitolei jasho kama ilivyo kwa wabunge wote wa JMT.
So akiteleza tu kidogo kwenye siasa atapoteza vingi ambavyo alivitarajia kuvipata.
 
Pamoja na Msigwa kuwa corrupt, kwenye uchaguzi wa kanda ya Kusini ilikuwa sio rahisi Sugu kumshinda Msigwa, anajua siri ya mchezo.
Kati ya Msigwa (team Lisu), na Sugu (team Mbowe) ni kina nani waliokuwa corrupt kupitia hela za mama Abdul?
 
Kun watanzania wengi walienda south.
Hao watanzania wengi walienda mwaka gani?

Kuhusu vibali kuna tofauti kubwa sana kati ya sasa na kipindi kile. Sasa hivi mpaka kibaka wa mbagala unakutana nae ana miliki ganda la kusafiria na wakati kipindi kile ganda walikuwa wanapewa watu maalum na kwa kazi maalum.
 
Back
Top Bottom