Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Umesahau pia kuwa dawa ya moto ni moto,Na pia muungwana huwa anakubali pale alipopungukiwa
Natamani tujifunze kitu sie wa upande wa pili[emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau pia kuwa dawa ya moto ni moto,Na pia muungwana huwa anakubali pale alipopungukiwa
Natamani tujifunze kitu sie wa upande wa pili[emoji1][emoji1]
Jana yawezekana walilewa sana!Itifaki ipo na Duniani Kote kuna Utaratibu..sijui Kwann chadema kila mara wanajiwekea kitanzi wenyewe.
Mkuu Wa nchi ameshaingia kwa usalama sio sawa nyie chadema kuingia baada ya Rais..Sio Heshima na pia sio sawa...
Lawama kila mara ila mmechemka sana
Umeelewa sugu alichosema? Au umetoka kuamka
Uhai wake alitwita malofa na wapumbavu kwahio lofa na mpumbavu kuchelewa sioni tatizo.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Wamedukua Account ya Sugu ya Twitter
Siyo kufahamu sema umeona alicho kiandika? Maana wakati anaandika huo ujumbe tulikuwa wote.
Haina haja ya kujua kama account ni yake au fake.
Na kama ni yake basi hongera kwake, maana anajitambua.
Siyo kila jambo siasa.
Sawa hata kama upo nae siumemuelewa mzee?
Wewe unao ushahidi kuwa walipewa ratiba sahihi? Kunamabadiliko yaliyofanyika kwenye ratiba ya awali.Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho
Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa walizuiwa kuingia Uwanjani kwa ajili ya kuuaga mwili wa Mkapa
Katika Ufafanuzi wao CHADEMA huku wakiitaka Serikali itoe ufafanuzi kwa kuzuiwa kwao wamesema wao wamefuata ratiba waliyopelekewa ikionesha tarehe, muda, siku tukio na muhusika
Hata hivyo, Jana Msemaji wa Serikali aliweka bayana ratiba ya kufika uwanjani hapo ambapo Serikali iliwataka Viongozi wote wa Kitaifa na Viongozi wa Kisiasa kufika katika Uwanja wa Karimjee na kuacha magari yao hapo kukiwa na gari maalum la kuwapeleka uwanjani ambapo la mwisho liliondoka saa 1:30 asubuhi
Aibu yakoKumbe walichelewa ?Sasa kwa nini wanabweka kama mambwa kuwa wamezuia ?Au ndo kama ya Mbowe kuvamiwa kumbe kala mzinga kisa mzinga wa Konyagi.
Umesahau pia kuwa dawa ya moto ni moto,
Uongo.Ni Sugu kabisa,sema wakubwa hawajakubaliana nae alivyoandika. Sisi sio vilaza kama kina Zitto mliowanyanganya laptop kulimokuwa na waraka.