Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Sawa sawa, naona wanao lilalia wamesahau kuwa kinacho mponza kambale ni mdomo wake
Uhai wake alitwita malofa na wapumbavu kwahio lofa na mpumbavu kuchelewa sioni tatizo.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Haina haja ya kujua kama account ni yake au fake.
Na kama ni yake basi hongera kwake, maana anajitambua.
Siyo kila jambo siasa.
 
Mbona tulivyo itwa malofa hukukemea hiyo lugha iliyo tumiwa?
Haina haja ya kujua kama account ni yake au fake.
Na kama ni yake basi hongera kwake, maana anajitambua.
Siyo kila jambo siasa.
 
Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho

Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa walizuiwa kuingia Uwanjani kwa ajili ya kuuaga mwili wa Mkapa

Katika Ufafanuzi wao CHADEMA huku wakiitaka Serikali itoe ufafanuzi kwa kuzuiwa kwao wamesema wao wamefuata ratiba waliyopelekewa ikionesha tarehe, muda, siku tukio na muhusika

Hata hivyo, Jana Msemaji wa Serikali aliweka bayana ratiba ya kufika uwanjani hapo ambapo Serikali iliwataka Viongozi wote wa Kitaifa na Viongozi wa Kisiasa kufika katika Uwanja wa Karimjee na kuacha magari yao hapo kukiwa na gari maalum la kuwapeleka uwanjani ambapo la mwisho liliondoka saa 1:30 asubuhi
Wewe unao ushahidi kuwa walipewa ratiba sahihi? Kunamabadiliko yaliyofanyika kwenye ratiba ya awali.
Baada ya hilo tukio unsonekana moyo wako umefarijika, huo ni ujinga.
 
Kwa hapo ni kweli walichelewa au hawakufuata utaratibu maana kama Gari ya mwisho ni saa 1:30 na wao Jana walichoka na zile pilika Airport ni wazi walizimika usingizi
 
Tulien
IMG_20200728_165659.jpeg
 
Back
Top Bottom