Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Huyo Museveni hana cha kunizidi, kama uzima ninao tena natembea kwa uhuru pasipo walinzi...Wewe na Museveni nani anamaisha muda huu
Mwisho mtaanza kupangiana vyama vya ku support, halfu mtaanza kupangiana dini, baadaye mataifa ya kutembelea, makabila ya kuoa kuolewa nayo, vyakula, ina ya simu ya kumilikiAmezichana vibaya shule za English Mediums na kuwaita " mbumbumbu" watanzania wanao jistress kusomesha watoto wao kwenye shule hizo.
Ameongea point nyingi sana nenda kamsikilize mwenyewe You Tube.
Moja kati ya nukuu yake anasema " Waafrika tunataka kuwa kama wazungu. Wazungu hawataki kuwa kama sisi. Tumekuwa mbumbumbu kiasi cha kulipa pesa ili watoto wetu watengemezwe wawe kama wazungu. Cha ajabu hao tunao taka wawatengeneze watoto wetu wawe kama wazungu sio wazungu wala hawajui chochote kuhusu wazungu na uzungu
Yaani tukasikilize anavyotutukana.... nehiAmezichana vibaya shule za English Mediums na kuwaita " mbumbumbu" watanzania wanao jistress kusomesha watoto wao kwenye shule hizo.
Ameongea point nyingi sana nenda kamsikilize mwenyewe You Tube.
Moja kati ya nukuu yake anasema " Waafrika tunataka kuwa kama wazungu. Wazungu hawataki kuwa kama sisi. Tumekuwa mbumbumbu kiasi cha kulipa pesa ili watoto wetu watengemezwe wawe kama wazungu. Cha ajabu hao tunao taka wawatengeneze watoto wetu wawe kama wazungu sio wazungu wala hawajui chochote kuhusu wazungu na uzungu
Kenya na Uganda wametupita kielimu kivipi wakati UDSM ndo chuo kikubwa kusini mwa Jangwa la Sahara na kaskazini mwa Mto Limpopo?Kumbuka Kenya na Uganda wametupita kielimu jwa sababu ya lugha ya malkia. Angalau na sisi tujikomboe, hii lugha ni ya kimataifa huwezi kuikwepa. Wewe anzisha viwanda vingi vyenye tija, andika kila kitu kwa kiswahili, ili ueneze kiswahili duniani. Hata terminology za kisayansi uandike kwa kiswahili. Utaweza? Whether you like or not you ought to lean English. Naomba tu waalimu wa hizi shule wapikwe vizuri.
Vibaka, walevi, wakabaji hata uko English medium wapo.Sio dharau ndio ukweli halisi mwandalie mtoto elimu nzuri hata hizo English medium zinafaa sana tena ni cheap izo st kayumba ndio zinazotoa vijana wavuta bangi wakabaji walevi wa pombe za nimeyaona haya mana ata Mimi nilisoma kayumba miaka hiyo
Anatamani kununua gari na silaha nzito eti ateke kuwaua au kuwapoteza ndugu zake kama ngozi nyeusi afanyavyo.Eti Muzungu anataka kuwa kama Mwafrika tangu lini
Mzungu atamani kuwa na low IQ kama Mwafrika.
English medium zinasaidia sana kwa usalama wa mtoto wako hata kama unakipato duni somesha hizi English medium mtoto wako atakuja na changamoto kwa rafiki zake waliofanikiwa hapo baadae hizo st kayumba watoto wanaomaliza huwa wanaishia kuja kushinda vilabuni na kuwa wavuta bangi
Hawana IQ yoyote ile labda uwe na upungufu ndo unataona kama wamekuzidi kituIla tuache utani.
Wale vijana wa WACHOKONOZI ni vijana wazalendo na wenye IQ kubwa
Sawa pamoja na kukuzidi uzee lakini unaweza mzidi kuanza kufaHuyo Museveni hana cha kunizidi, kama uzima ninao tena natembea kwa uhuru pasipo walinzi...
Yeye kutwa nzima na walinzi.... Hana uhuru kama niliona mie.... Yeye hata kama yupo na walinzi bado hawezi kununua uhai, atarudi mavumbini siku moja na hao walinzi hatakuwa nao..
Kwanza keshazeeka hivyo anachonizidi ni uzee pekee.
Ni malezi yako tu mabovu kama mzaziEnglish medium zinasaidia sana kwa usalama wa mtoto wako hata kama unakipato duni somesha hizi English medium mtoto wako atakuja na changamoto kwa rafiki zake waliofanikiwa hapo baadae hizo st kayumba watoto wanaomaliza huwa wanaishia kuja kushinda vilabuni na kuwa wavuta bangi
Yani sisi tumsikilize mrindoko !!?? Mtk yakoAmezichana vibaya shule za English Mediums na kuwaita " mbumbumbu "Watanzania wanao jistress kusomesha watoto wao kwenye shule hizo.
Ameongea point nyingi sana nenda kamsikilize mwenyewe You Tube.
Moja kati ya nukuu yake anasema " Waafrika tunataka kuwa kama wazungu. Wazungu hawataki kuwa kama sisi.
Tumekuwa mbumbumbu kiasi cha kulipa pesa ili watoto wetu watengenezwe wawe kama wazungu.
Cha ajabu hao tunao taka wawatengeneze watoto wetu wawe kama wazungu sio wazungu wala hawajui chochote kuhusu wazungu na uzungu
Udsm haipo hata kwenye top 10 ya vyuo bora africa, unataka kusema nini?Kenya na Uganda wametupita kielimu kivipi wakati UDSM ndo chuo kikubwa kusini mwa Jangwa la Sahara na kaskazini mwa Mto Limpopo?
Unatumia kigezo gani kusema Kenya na Uganda wametupita kielimu?
Ameongea point nyingi sana nenda kamsikilize mwenyewe You Tube.Amezichana vibaya shule za English Mediums na kuwaita " mbumbumbu "Watanzania wanao jistress kusomesha watoto wao kwenye shule hizo.
Ameongea point nyingi sana nenda kamsikilize mwenyewe You Tube.
Moja kati ya nukuu yake anasema " Waafrika tunataka kuwa kama wazungu. Wazungu hawataki kuwa kama sisi.
Tumekuwa mbumbumbu kiasi cha kulipa pesa ili watoto wetu watengenezwe wawe kama wazungu.
Cha ajabu hao tunao taka wawatengeneze watoto wetu wawe kama wazungu sio wazungu wala hawajui chochote kuhusu wazungu na uzungu
I disagree with you! This is not true.English medium zinasaidia sana kwa usalama wa mtoto wako hata kama unakipato duni somesha hizi English medium mtoto wako atakuja na changamoto kwa rafiki zake waliofanikiwa hapo baadae hizo st kayumba watoto wanaomaliza huwa wanaishia kuja kushinda vilabuni na kuwa wavuta bangi
iq kubwa ndo vile,mbona wanaongea upumbavu tuIla tuache utani.
Wale vijana wa WACHOKONOZI ni vijana wazalendo na wenye IQ kubwa