Tanzania taifa
Member
- Sep 12, 2024
- 13
- 30
MWENYE VITABU VYAKE JOSEPH MRINDOKO TUNAOMBA ATUME HUMU WAKUU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwako elimu nzuri ni ipi?Sio dharau ndio ukweli halisi mwandalie mtoto elimu nzuri hata hizo English medium zinafaa sana tena ni cheap izo st kayumba ndio zinazotoa vijana wavuta bangi wakabaji walevi wa pombe za nimeyaona haya mana ata Mimi nilisoma kayumba miaka hiyo
Unajua mtoto Kwa siku wewe inaishi nae masaa machache Sasa kuliko watu baki?Ni malezi yako tu mabovu kama mzazi
Wazazi tuache kujifariji twende tukalipe ada hii miezi ya kulipa ada tusitafute sababu. Hizo kabla ya english medium elimu ilitufikisha wapi? Tuligundua nini. Hata ukiangalia maprofesa madaktari mahiri utagundua wamesoma elimu ya kizungu.Amezichana vibaya shule za English Mediums na kuwaita " mbumbumbu "Watanzania wanao jistress kusomesha watoto wao kwenye shule hizo.
Ameongea point nyingi sana nenda kamsikilize mwenyewe You Tube.
Moja kati ya nukuu yake anasema " Waafrika tunataka kuwa kama wazungu. Wazungu hawataki kuwa kama sisi.
Tumekuwa mbumbumbu kiasi cha kulipa pesa ili watoto wetu watengenezwe wawe kama wazungu.
Cha ajabu hao tunao taka wawatengeneze watoto wetu wawe kama wazungu sio wazungu wala hawajui chochote kuhusu wazungu na uzungu
Mm niliona hz shule wazaz wengine hawakusoma wanaopeleka watt zao utasikia nawawekea msing mzur je yy mazaz aliwekewa huo msingi halafu wazaz wa kipato duni mostly ndo wanajikaanga huko hatareeWazazi wengi wenyewe hata kiingereza cha kuombea maji hawakijui.
Wakisikia english medium wanajua kuna elimu bora kuliko kwingine.
Mwisho wa kozi mtoto anahitimu hajui kuongea kiingereza vema inabidi akimbizwe tena mitaani kupatiwa english course ya pre form one, huko nako anaenda kubabaishwa na vijana wa form six failure wasiojua vema kuongea kiingereza.
Mzazi anaishia kutapatapa asijue wapi kuna elimu bora kwa mtoto wake wakati naye ni dunya tu shule alikwenda lakini akaishia kusikojulikana kama alisoma au hakwenda hata darasa moja