Joseph Mrindoko wa wachokonozi azichana vibaya shule za English Medium

Sio dharau ndio ukweli halisi mwandalie mtoto elimu nzuri hata hizo English medium zinafaa sana tena ni cheap izo st kayumba ndio zinazotoa vijana wavuta bangi wakabaji walevi wa pombe za nimeyaona haya mana ata Mimi nilisoma kayumba miaka hiyo
Kwako elimu nzuri ni ipi?
 
Cha muhimu shule ziwe na waalimu wanaojua English vizuri kwa sababu siku hizi shule nyingi za English medium zinatoa watoto wa Std 7 hawajui kiingereza. Pia mzazi kabla hujampeleka mtoto huko hakikisha nyumbani unamuongelesha kiingereza sio akitoka shule ni kiswahili mwanzo mwisho. English ni lugha ya hela. Hata mchina anajifunza English.
 
Huyo jamaa ni mpuuzi.eti yeye anajua kila kitu..
 
Wazazi tuache kujifariji twende tukalipe ada hii miezi ya kulipa ada tusitafute sababu. Hizo kabla ya english medium elimu ilitufikisha wapi? Tuligundua nini. Hata ukiangalia maprofesa madaktari mahiri utagundua wamesoma elimu ya kizungu.

Leo hii madaktari bingwa tunawapeleka nje kwenda kupata elimu ya mzungu. Secta nyingine zinazohitaji wataalam vivyo hivyo. Angalia tulivyo nyuma kwenye Nafasi za kimataifa. Mataifa mengine wana watu wengi wanaoweza kufaulu hizo enterview za mashirika ya kimataifa.

Dunia imebadilika usidanganywe ukataka kutumia mbinu ya 1950 utajuta. Anaeongea hapa mtoto wake anapatiwa elimu nzuri (ya kizungu) then kesho atakutawala wewe, mtoto wako na mjukuu pia. Atakupangia kila kitu kwenye maisha yako
 
Mm niliona hz shule wazaz wengine hawakusoma wanaopeleka watt zao utasikia nawawekea msing mzur je yy mazaz aliwekewa huo msingi halafu wazaz wa kipato duni mostly ndo wanajikaanga huko hataree
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…