Uchaguzi 2020 Joseph Selasini wa NCCR Mageuzi avunja rekodi kwa watu kibao

Akae akijua sadaka zetu hazitatafunwa hovyo kama zile tozo za mishahara ya wabunge waviti maaaluum.
Zitaamtokea puaniii jamaa yenuuu.
Mwambieni mapemaa, tumechoka kulagaiwa na walanguziiii
Umenikumbusha ile 1.5 trillion
 
Akae akijua sadaka zetu hazitatafunwa hovyo kama zile tozo za mishahara ya wabunge waviti maaaluum.
Zitaamtokea puaniii jamaa yenuuu.
Mwambieni mapemaa, tumechoka kulagaiwa na walanguziiii
Nani tena?
 
Kiukweli bora ukose mali upate akili hawa jamaa wana aibika wanatamani kurudi ila ndio hivyo tena nafasi zimejaa
Hakuna wa kupokea hayo maganda ya mpunga
 
Kama unawashwa sema tukutafutie mkunaji
Tukana tuuu walamatusi hayaondoi wizi mnaotuibia kwa mgongo wa machangizoooo.
Hizo fedha jamaaa yenuu zitamtokea puani
Kwahiyo matusi yenu hayatatuzuia kuhoji matumizi ya sadaka zetu zinazotozwa kwa kulazimishwa kwenyee mandooo ya Rita 20.
 
Hiyo tulinunua ndege na kujenga Chato international airport na tumeongeza wanyama katika hifadhi ya lubondo
Juzi rais mtarajiwa aliwauliza wana mwanza wamwambie tangu uwanja wa chato ujengwe ni ndege ngapi za abiria zimetua chato?
 
Hapo ndo pale anapotamani kulia hawezi,kucheka hawezi
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ alidhani Watanzania ni wapumbavu 🀣🀣🀣🀣🀣

 
Tukana tuuu walamatusi hayaondoi wizi mnaotuibia kwa mgongo wa machangizoooo.
Hizo fedha jamaaa yenuu zitamtokea puani
Kwahiyo matusi yenu hayatatuzuia kuhoji matumizi ya sadaka zetu zinazotozwa kwa kulazimishwa kwenyee mandooo ya Rita 20.
Kwani umelazimishwa kuchangia
 
Unazungumzia yule aliyerushiwa mawe na wahuni wa CCM waliotumwa ?


kumbe kilimanjaro nzima ni ccm basi ndo hao hao, hamna chenu pale! na mpite tena pale sasa mtanyooka vizuri
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alidhani Watanzania ni wapumbavu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hivi anajuta na kulia
 
Reactions: BAK
Safi sana ndio demokrasia hiyo naona ulinzi umeimarishwa ili watu wasikanyagane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…