Uchaguzi 2020 Joseph Selasini wa NCCR Mageuzi avunja rekodi kwa watu kibao

Uchaguzi 2020 Joseph Selasini wa NCCR Mageuzi avunja rekodi kwa watu kibao

Si huyooo jamaa yenu wa kiki za miujiza alifungua kampeni mbagala zakhem na akatutoza Sadaka ambazo hata Leo hatujui mapato yake na matumizi yakeee?
Kama ulichanga basi hiyo ni haki ya mchamgiwa kutumia anavyo hitaji maana kutoa ni moyo.

Shida yetu watanzania ni kwa yule anaye tumia kodi zetu kufanyia anayo taka yeye bila kuidhinishwa kisheria
 
Hakuwa na mafuso

1599159049249.png
 
Kuchanga ni moyo na pia hiari.
Yaonekana hata familia yako wanaishi bila kuwa na amani kabisa, kwa kuogopa kudaiwa na baba yao.
Kwa wanasoccos nisawaaa, ilatunataka kujulishwa mapato na matumizi ya hizo sadakaa, maana vyombovinavyotumika kutoza hizo sadaakaa ni mandooo ya rita 20,
 
Kwa wanasoccos nisawaaa, ilatunataka kujulishwa mapato na matumizi ya hizo sadakaa, maana vyombovinavyotumika kutoza hizo sadaakaa ni mandooo ya rita 20,
Kama unawashwa sema tukutafutie mkunaji
 
Kama ulichanga basi hiyo ni haki ya mchamgiwa kutumia anavyo hitaji maana kutoa ni moyo.

Shida yetu watanzania ni kwa yule anaye tumia kodi zetu kufanyia anayo taka yeye bila kuidhinishwa kisheria
Akae akijua sadaka zetu hazitatafunwa hovyo kama zile tozo za mishahara ya wabunge waviti maaaluum.
Zitaamtokea puaniii jamaa yenuuu.
Mwambieni mapemaa, tumechoka kulagaiwa na walanguziiii
 
Back
Top Bottom