Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
Aende marekani na wakati hataki kuchanjwaImawezeka anataka kutupa up date wakazi wa kawe za kuhamia Marekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aende marekani na wakati hataki kuchanjwaImawezeka anataka kutupa up date wakazi wa kawe za kuhamia Marekani
Mimi nilishajiandaa kuwa konda wa trenOk sawa na chuo cha uvuvi Wajapan watakuwa tayari wamemaliza neema mwaka huu wakazi wa kawe tunachagua kuhamia Marekani au kuwa mabaharia najivunia kuwa mkazi wa kawe.
Kumbe uliiona mkuu ..Ile inaitwa kujichekesha mbele ya boss .Eeeee shemeji yake ni noma .Rais Samia baada yankisema anaandaa mkeka baadae alivosema Jamhuri ya muungano wa Tanzaniaaaaa kwa msisistizo .shemeji mtu aliruka hewani kuijibu .nilicheka hadi nikalia haki ccm wanapenda ulaji ni balaa
Hana issue naye tenaGwajima mzee wa kuchochea kuni. Alishaelewana na shemeji yake waziri wa afya? Au ndiyo anakuja kumlipua?
Amezuiwa na dolaHuyu Gwajiboy amezungumza ama walimzushia hiyo press haikuwepo ?
Hakuna Spika hapo ni shetani tupuAnataka kumshukuru Bwana wa Majeshi baada ya Spika kuaibishwa .
Inawezekana , mtu mwenyewe naye ni walewale vichwa ngumu, anaweza kuropoka mengine,Amezuiwa na dola
YapInawezekana , mtu mwenyewe naye ni walewale vichwa ngumu, anaweza kuropoka mengine,
Siyo kujichekesha tu .aliruka hewani kama kungekuwa nabutelezi yangekuwa mengineKumbe uliiona mkuu ..Ile inaitwa kujichekesha mbele ya boss .