Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
-
- #241
Kitambo sana nimeshawasamehe na sitakwaruzana nao kwa namna moja au nyingine mkuuMkuu karibu tena pia wasamehe wote waliokuzushia yasiyo ya ukweli wowote
Waombee tu Mungu awasamehe na kuwapa maisha marefu wazidi kukuona kwenye Nafasi yako pendwa.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Mmmh hitima kabisa? waambie nimerudiDah juzi nilikua na mzee .wanakijiji mshana na eiyer na wakuu wwngine kibao tulikua tunapanga hitima yako maana kulikua hakuna namna na haya mambo ya siku iz mara kibiti mara saa tisa ni mtihan tutaanza kurudisha rambirambi tulizopokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu, na hiyo pia nimekanusha [emoji56] [emoji56] [emoji56]Alikwenda kijijini kuwasalimu wazee, si mnajua tena mambo ya net kijijini?
Kanusha Tena na hili...
By the way na-joke
Karibu tena kiongozi, tulikumisi
Sent using Jamii Forums mobile app
asante brother, natumai umeelewa sasa...Brother karibu tena. Watu tulikua kwenye giza nene hatuelewi wapi ulipo
UmriJamaa kajaaliwa hekima na busara sana.
brain is the beautiful part of the body.
[emoji4] [emoji56] kumbe aisee..namimi pia niliwamiss wanajukwaaBora umerudi yaan woote waliokuwa wa kwanza kukusema vibaya ndio waliokumiss sana
[emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mwenyeji karudi kwa manjonjo
DJ sepetu
[emoji106] [emoji1]Hahahhaha
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Pole sana mkuu kwa matusi, huyo jamaa simuelewi ana lengo gani...ila sio mimi aseeh nawaheshimu members wengi tu humu jukwaaniBora umerudi kiongozi, kuna jamaa ana avator kama yako anateremsha matusi kweli kweli nikazani ni wewe mkuu!!
Oooooooh mtani upoooo??? Nilikumiss pia aisee nimerudi rasmi[emoji4] [emoji1] [emoji3]Karibu sana mtani wangu, kweli wewe ni mtu nyeti JF maana si kutafutwa huko!
poa kiongoziSawa.
Poa sana Chief [emoji106] peacedont hate be inspired..karibu sana chief
Karibu sana.Oooooooh mtani upoooo??? Nilikumiss pia aisee nimerudi rasmi[emoji4] [emoji1] [emoji3]
[emoji56] [emoji56] haleluya'Kafufuka, haleluyaah'!