Joseverest is Back!! (Hatimaye nimerudi tena)

Joseverest is Back!! (Hatimaye nimerudi tena)

Mkuu karibu tena pia wasamehe wote waliokuzushia yasiyo ya ukweli wowote
Waombee tu Mungu awasamehe na kuwapa maisha marefu wazidi kukuona kwenye Nafasi yako pendwa.
Kitambo sana nimeshawasamehe na sitakwaruzana nao kwa namna moja au nyingine mkuu
 
Dah juzi nilikua na mzee .wanakijiji mshana na eiyer na wakuu wwngine kibao tulikua tunapanga hitima yako maana kulikua hakuna namna na haya mambo ya siku iz mara kibiti mara saa tisa ni mtihan tutaanza kurudisha rambirambi tulizopokea

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Mmmh hitima kabisa? waambie nimerudi
 
Mwenyeji karudi kwa manjonjo
cfed39202f4998701c57586df987e229.gif


DJ sepetu
[emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Bora umerudi kiongozi, kuna jamaa ana avator kama yako anateremsha matusi kweli kweli nikazani ni wewe mkuu!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Pole sana mkuu kwa matusi, huyo jamaa simuelewi ana lengo gani...ila sio mimi aseeh nawaheshimu members wengi tu humu jukwaani
 
Joseverest samahani hao Watu wa Usalama si ndiyo wale wenye Kituo cha ' Daladala ' pale Magomeni au kuna wengine tena ambao labda Sisi hatuwajui?
 
Back
Top Bottom