Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Tuone wabara au ndo mnajificha kwenye keyboard
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuone wabara au ndo mnajificha kwenye keyboard
Mashekhe Ubwabwa wa CCM waungana na kumwaga Povu dhidi ya Alhaj Sheikh Ponda Issa Ponda
Ngoja tarehe28 ifikeTuma kapicha uko na dumu la petroli tarehe 28 keyboard warrior
Hii ndio branding ya watu wa-Arusha, msimshangae baada ya miaka minne mkamsikia anaongea maneno hayo-hayo akiwa chama kingineMbunge mstaafu wa Chadema Dkt. Joshua Nassari ameomba radhi rasmi kwa Rais Magufuli kufuatia mambo maovu aliyomfanyia kabla hajahamia CCM.
Nassari ambaye alikuwa akiongea kimasai amewaomba radhi wanaccm na wana Arusha wote kwa machukizo aliyowasababishia akiwa CHADEMA.
Nassari amewataka malaigwanan na wamasai wote na wananchi kwa ujumla kumpigia kura Dkt. Magufuli.
"Ninamshukuru sana kijana Nassari ni kijana anayejitambua, ebu mpe 'Mic' asalimu hapa na aombe kura kwa ajili ya wabunge wengine, huyu anajitambua alijua alikuwa amekosea na mimi Nassari nakuambia nitakupa kazi, ebu omba kura kwa ajili ya waheshimiwa hawa", amesema Dkt Magufuli.
Kwa upande wake Joshua Nassari akatumia nafasi hiyo kumuomba msamaha Dkt Magufuli, "Mh. Rais mtu anayeomba radhi ni anayefahamu tendo la ujasiri na mimi naomba leo niuvae ujasiri nije mbele yako na wana Meru kama kuna mahali nimewahi kukosea ninakuomba unisamehe, ninaomba radhi kwa niaba ya watu wa Meru, mwaka 2015 katika uwanja huu niliwaomba watu hawa wapeleke kura mahali pengine".
Maendeleo hayana vyama!
====
Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari ameomba kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kwa kuwa upinzani
Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020, miezi kadhaa baada ya kuvuliwa ubunge kutokana na kutohudhuria vikao vitatu vya bunge
Nassari amesema mambo mengi waliyokuwa wakiyasema alipokuwa upinzani yametekelezwa na Dkt. Magufuli katika muhula wa kwanza wa uongozi wake.
Hapana, yani ukaribu wa chimbuko Mmeru anaweza kuwa almost njia moja na mchaga, lakini sio Maasai mkuu. Nimekaa nao Kisimiri near mlima MeruNdio hao hao bwashee!
Ni kama vile wamachame, wamarangu, warombo wote ni wachaga!
Mambo ya ukabila yanatoka wapi tena. Kuongea kilugha siyo ukabila bali hizo stori zako za kuwasemea wamasai ndiyo ukabila. Mimi sikumsikia akisema anawasemea wamasai.Nassari ni mmeru sio mmasai anawasemea wamasai yeye kama nani, kujua lugha sio ndo kuwa mhusika
John Pombe Magufuli ni kama maji usipoyanywa utayaogaMbunge mstaafu wa Chadema Dkt. Joshua Nassari ameomba radhi rasmi kwa Rais Magufuli kufuatia mambo maovu aliyomfanyia kabla hajahamia CCM.
Nassari ambaye alikuwa akiongea kimasai amewaomba radhi wanaccm na wana Arusha wote kwa machukizo aliyowasababishia akiwa CHADEMA.
Nassari amewataka malaigwanan na wamasai wote na wananchi kwa ujumla kumpigia kura Dkt. Magufuli.
"Ninamshukuru sana kijana Nassari ni kijana anayejitambua, ebu mpe 'Mic' asalimu hapa na aombe kura kwa ajili ya wabunge wengine, huyu anajitambua alijua alikuwa amekosea na mimi Nassari nakuambia nitakupa kazi, ebu omba kura kwa ajili ya waheshimiwa hawa", amesema Dkt Magufuli.
Kwa upande wake Joshua Nassari akatumia nafasi hiyo kumuomba msamaha Dkt Magufuli, "Mh. Rais mtu anayeomba radhi ni anayefahamu tendo la ujasiri na mimi naomba leo niuvae ujasiri nije mbele yako na wana Meru kama kuna mahali nimewahi kukosea ninakuomba unisamehe, ninaomba radhi kwa niaba ya watu wa Meru, mwaka 2015 katika uwanja huu niliwaomba watu hawa wapeleke kura mahali pengine".
Maendeleo hayana vyama!
====
Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari ameomba kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kwa kuwa upinzani
Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020, miezi kadhaa baada ya kuvuliwa ubunge kutokana na kutohudhuria vikao vitatu vya bunge
Nassari amesema mambo mengi waliyokuwa wakiyasema alipokuwa upinzani yametekelezwa na Dkt. Magufuli katika muhula wa kwanza wa uongozi wake.
Tutapitia thread za mapovu zote tuone kama mtafanya kweli mnayopigia kelele humuNgoja tarehe28 ifike
NjaaMbunge mstaafu wa Chadema Dkt. Joshua Nassari ameomba radhi rasmi kwa Rais Magufuli kufuatia mambo maovu aliyomfanyia kabla hajahamia CCM.
Nassari ambaye alikuwa akiongea kimasai amewaomba radhi wanaccm na wana Arusha wote kwa machukizo aliyowasababishia akiwa CHADEMA.
Nassari amewataka malaigwanan na wamasai wote na wananchi kwa ujumla kumpigia kura Dkt. Magufuli.
"Ninamshukuru sana kijana Nassari ni kijana anayejitambua, ebu mpe 'Mic' asalimu hapa na aombe kura kwa ajili ya wabunge wengine, huyu anajitambua alijua alikuwa amekosea na mimi Nassari nakuambia nitakupa kazi, ebu omba kura kwa ajili ya waheshimiwa hawa", amesema Dkt Magufuli.
Kwa upande wake Joshua Nassari akatumia nafasi hiyo kumuomba msamaha Dkt Magufuli, "Mh. Rais mtu anayeomba radhi ni anayefahamu tendo la ujasiri na mimi naomba leo niuvae ujasiri nije mbele yako na wana Meru kama kuna mahali nimewahi kukosea ninakuomba unisamehe, ninaomba radhi kwa niaba ya watu wa Meru, mwaka 2015 katika uwanja huu niliwaomba watu hawa wapeleke kura mahali pengine".
Maendeleo hayana vyama!
====
Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari ameomba kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kwa kuwa upinzani
Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020, miezi kadhaa baada ya kuvuliwa ubunge kutokana na kutohudhuria vikao vitatu vya bunge
Nassari amesema mambo mengi waliyokuwa wakiyasema alipokuwa upinzani yametekelezwa na Dkt. Magufuli katika muhula wa kwanza wa uongozi wake.
Huyo hana akiliMbunge mstaafu wa Chadema Dkt. Joshua Nassari ameomba radhi rasmi kwa Rais Magufuli kufuatia mambo maovu aliyomfanyia kabla hajahamia CCM.
Nassari ambaye alikuwa akiongea kimasai amewaomba radhi wanaccm na wana Arusha wote kwa machukizo aliyowasababishia akiwa CHADEMA.
Nassari amewataka malaigwanan na wamasai wote na wananchi kwa ujumla kumpigia kura Dkt. Magufuli.
"Ninamshukuru sana kijana Nassari ni kijana anayejitambua, ebu mpe 'Mic' asalimu hapa na aombe kura kwa ajili ya wabunge wengine, huyu anajitambua alijua alikuwa amekosea na mimi Nassari nakuambia nitakupa kazi, ebu omba kura kwa ajili ya waheshimiwa hawa", amesema Dkt Magufuli.
Kwa upande wake Joshua Nassari akatumia nafasi hiyo kumuomba msamaha Dkt Magufuli, "Mh. Rais mtu anayeomba radhi ni anayefahamu tendo la ujasiri na mimi naomba leo niuvae ujasiri nije mbele yako na wana Meru kama kuna mahali nimewahi kukosea ninakuomba unisamehe, ninaomba radhi kwa niaba ya watu wa Meru, mwaka 2015 katika uwanja huu niliwaomba watu hawa wapeleke kura mahali pengine".
Maendeleo hayana vyama!
====
Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari ameomba kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kwa kuwa upinzani
Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020, miezi kadhaa baada ya kuvuliwa ubunge kutokana na kutohudhuria vikao vitatu vya bunge
Nassari amesema mambo mengi waliyokuwa wakiyasema alipokuwa upinzani yametekelezwa na Dkt. Magufuli katika muhula wa kwanza wa uongozi wake.
Hakika leo ndiyo nimeamini kwa 100% kuwa ccm Arusha ilisha kufutwa siku nyingi sana.Dogo angekuwa Chadema ubunge ungekuwa halali yake tena lakini akanunulika sasa anajuta kuliona game changer Lissu anavyowakimbiza mpaka hilo jiwe lao
Sio kukosa akiliHuyo hana akili
Kweli maana hata na WASIYO JULIKANA WAPO HUKOCCM vyeo ni vingi!