Joti hana mpinzani kwenye tasnia ya uchekeshaji

Joti hana mpinzani kwenye tasnia ya uchekeshaji

Nakubaliana na wewe katika brand positioning ni kitu ambacho Joti kawashinda wenzake. Management yake na yeye wanapiga kazi na inaonekana hawa wengine wamelala mbali ya talents zao.

Ila tukizungumzia katika talent ya kuchekesha yeye sio bora zaidi
Naomba useme aliye bora zaidi ni nani? Sababu raha ya kuchekesha uwe na flexibility ya aina flani! Joti namkubali sababu ya hio character! Pia ana composition ya matukio tofauti tofauti!

Wengi wako na flat character ukiangalia comedy zake 10 times in a row hutaman tena kumuona! Wanaishia kuboa tu ila Joti hachuji sababu anaswitchb
 
Kipaji cha joti kilitegemea combination ya orijino komedi.

Peke yake hawi bora na sikuizi nimemuona kakosa ubunifu kabisa now namuona mara kibao anazifanyia video zile memes za kuchekesha ambazo zime trend mtandaoni
 
Naomba useme aliye bora zaidi ni nani? Sababu raha ya kuchekesha uwe na flexibility ya aina flani! Joti namkubali sababu ya hio character! Pia ana composition ya matukio tofauti tofauti!

Wengi wako na flat character ukiangalia comedy zake 10 times in a row hutaman tena kumuona! Wanaishia kuboa tu ila Joti hachuji sababu anaswitchb
Moja ya talent ambayo joti nam appreciate ni hii ya kivaa uhusika wa aina tofauti tofauti za watu

Ila kiuchekeshaji joti namuona bora sana wakati ule yuko orijino komedi na kipindi kile ambapo alikua na mpoki.
 
Ebu angalia hii combination ambayo now joti hawezi kufanya peke yake na ikavutia kama hapa

 
Hakuna mtu anafuatilia Oka martin
Wananifurahisha sana kwenye vichekesho vyao kama utofauti wa uzunguni na kwetu, jala na chalampa, utani wa simba na yanga.
 
Hakuna mtu anafuatilia Oka martin
Wananifurahisha sana kwenye vichekesho vyao kama utofauti wa uzunguni na kwetu, jala na chalampa, utani wa simba na yanga.
Tatizo wale walishaishiwa Mzee , maneno mengi action zero, japo walianza fresh Sana , Joti kaanza akiwa na akina bambo na mpoki , kuna wakat walinusurika kichapo Songea back to 2000 huko , kumantain status tangu kipind hcho cha analogia up to the digital generation sio kazi rahs braza
 
mtu si lazma awe bora katika kila kitu mkuu, hata mr bean hafanyi stand up comedy na bado anaheshimika kutokana na aina yake ya comedy
Upo sawa. Na ndo maana namkubali Joti kwa mengine ila si stand up comedy. Kusema yeye ni the best ni kumjaza sifa zisizo stahili badala ya kumpa changamoto ajiongeze kwenye stand up comedy. Ukimuangalia Erick Omondi anajitahidi zote, hizi za ukatuni kama Joti na vile vile stand up comedy.
 
Upo sawa. Na ndo maana namkubali Joti kwa mengine ila si stand up comedy. Kusema yeye ni the best ni kumjaza sifa zisizo stahili badala ya kumpa changamoto ajiongeze kwenye stand up comedy. Ukimuangalia Erick Omondi anajitahidi zote, hizi za ukatuni kama Joti na vile vile stand up comedy.

ni kweli brother ila usisahau kuwa stand up comedy inawafaa watu ambao ni story tellers wazuri sana yaani sio ya kila mtu, tofauti na maigizo ambayo yanategemea zaidi story, uhusika na script.
 
Mkuu labda Tu humfatilii script zake , jamaa ni nondo tuu yaan , jamaa kajaaliwa maneno Sana kulingana na tukio
Labda yawezekana...

Ila binafsi yangu nimemuona bora zaidi wakati ule kuliko sasa, na sio yeye bali ni kama trend ya wasanii wengi hapa tanzania.

Unakuta mtu alipokua akistrugle kutafuta kutoka alikua akifanya
Kwa kujituma na kitu kinakua kizuri

ila nowdays naona watu wanafanya kitu kwa trend kwamba nina jina na kuna watu wananifatilia daily so kitu chochote nachofanya lazima kitakiki tu

Dhana hiyi ndo inachangia kufifisha hata vipaji vipya kwasababu wadau wengi unakuta wamewekeza muda wao kuwaangalia wasanii wakubwa wenye majina na huku hawa wanaoanza kwenye game wakipewa kisogo.

Na ndio maana ma underground kuna spirit mbaya wamejijengea kua hawaamini moja kwa moja kupitia kazi zao watavuma, bali ili wawe mastaa wanatakiwa kufanya kazi pamoja na hao waliofanikisha kutengeneza jina na sio kufanya kazi nzuri yenye kuweza kuwa attract watu wakaipenda kutokana na ubora na uzuri wake
 
ni kweli brother ila usisahau kuwa stand up comedy inawafaa watu ambao ni story tellers wazuri sana yaani sio ya kila mtu, tofauti na maigizo ambayo yanategemea zaidi story, uhusika na script.
Standup komed mpoki ana fit ila eric omond ni zaidi maradufu
 
Kipaji cha joti kilitegemea combination ya orijino komedi.

Peke yake hawi bora na sikuizi nimemuona kakosa ubunifu kabisa now namuona mara kibao anazifanyia video zile memes za kuchekesha ambazo zime trend mtandaoni
kwa sasa sio hizo comedy tu mkuu ni kama norm kwenye entertainment industry kutumia vitu vilivyotrend ili kupata attention kirahisi

naona anaflow nayo na inampa numbers nzuri tu
 
ni kweli brother ila usisahau kuwa stand up comedy inawafaa watu ambao ni story tellers wazuri sana yaani sio ya kila mtu, tofauti na maigizo ambayo yanategemea zaidi story, uhusika na script.
Na hela kwenye live shows ipo kwenye stand-up comedy.
 
kwa sasa sio hizo comedy tu mkuu ni kama norm kwenye entertainment industry kutumia vitu vilivyotrend ili kupata attention kirahisi

naona anaflow nayo na inampa numbers nzuri tu
Yeah kwenye angle ya commercial inampa faida ila kwenye creativity inamdumaza
 
Standup komed mpoki ana fit ila eric omond ni zaidi maradufu

Eric omondi ndio area yake ila mpoki naona ni kama kipaji tu japo hajakitumia sana

ila kwa sasa cheka tu kidogo ndo inaanza kuinua stand up comedy na kutengeneza generation mpya ya comedians. i hope uko mbeleni tutapata watu kama eric ama professor harmo
 
Eric omondi ndio area yake ila mpoki naona ni kama kipaji tu japo hajakitumia sana

ila kwa sasa cheka tu kidogo ndo inaanza kuinua stand up comedy na kutengeneza generation mpya ya comedians. i hope uko mbeleni tutapata watu kama eric ama professor harmo
Cheka tu sijawahi sikia hilo kundi mzee..

Il nakumbuka hawa wajinga wa orijino komedi standup comedy ya mwisho kuifanya ilikua ni ile ya kumdhihaki lowasa kwenye jukwaa la CCM kipimdi cha kampeni
 
Back
Top Bottom