Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Most of those women kule TAMWA ni single moms. Akili kichwani
Hakika!!Haya mambo ni Mungu tuu anayajua
Ukitaka amani weka imani kwa Mungu usiweke imani kwa mtu
Siku Ukiwajua wanawake vzr utachagua kuwa padre wewe...Vijana hawana kinyaa! Karai limechota "uchafu" Tani ngapi, wewe Leo unaweka chakula ulie humo! Vijana muwe na kinyaa!
Najua Sana, ndiyo kukosa kinyaa. ukijua fika kuwa imepigwa mchana kutwa, halafu nikailalia..ndio kukosa kinyaa. Kama hujui, it is well and fine! Sawa na kumtoa kwenye baa...unajua kuwa kila siku Kama Mungu kaleta neema ya wateja anaweza pigwa na Kumi, nawewe unailalia...kukosa kinyaaSiku Ukiwajua wanawake vzr utachagua kuwa padre wewe...
Kitu inapigwa mchana usiku na wewe unailalia
Jiangalie sana
Nami nakuchukia[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]Eeeeh
Pole kwa kuubebesha moyo wako zigo la chuki ya mtu asiyekujua
Magonjwa ya moyo, sukari na kiharusi hayatakuacha salama[emoji1787][emoji1787]
Nakubali!Maisha ya binadamu ni kichaka kuna wachafu zaidi yake lakini ukiwakuta kanisani utadhani wameguswa na Roho Mtakatifu.
Sijui, as long as sijui Sina sababu ya kuwa na kinyaa. Sasa wewe unajua kabisa kuwa Mama D ni manungayembe, msimbe, Nyailya, nawe unakwenda kujitosa humo mchana kweupeeeeeHainaga uchafu ile[emoji28][emoji28][emoji28]
Ndio maana hata hapo kwako unapopaamini wewe unaweza kuta wenzio wanapita mchana na wewe usiku unapata flavor ileile
Tuwatakie heri
Sijui, as long as sijui Sina sababu ya kuwa na kinyaa. Sasa wewe unajua kabisa kuwa Mama D ni manungayembe, msimbe, Nyailya, nawe unakwenda kujitosa humo mchana kweupeeeee
As long as huna ushahidi,hujui, them huna sababu ya kuwa na kinyaa. Merciful anajulikana kuwa kaachika Mara 10, vyuo Kumi wenzetu wanaita, nawe unajimwaga humo! KinyaaAu mwenzetu ana hatimiliki?? Ya kwake peke yake[emoji85] [emoji85]
We unamatatizo ya akili na unaitikadi za kutetea ujinga halafu unajiita mama shame on youWenzio wanataka wenye uzoefu
We unamatatizo ya akili na unaitikadi za kutetea ujinga halafu unajiita mama shame on you
Kama ni ngumu kusema mbona wewe umesema haigizii..Au unajuaje kuwa ana furahaa kama si kuona hayo maigizo?!Ni ngumu kusema wanaigiza au hawaigizi
Sisi Tuwatakie heri tuu
Kama ni ngumu kusema mbona wewe umesema haigizii..Au unajuaje kuwa ana furahaa kama si kuona hayo maigizo?!
Uko sahihi kabisa. Wanataka mabakuli mapanaUnafikiri wanaume wanaojitosa hapo hawaijui historia yake!?
Inawezekana wanapenda wa hivyo