Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Utataka tu maana mi nataka😂Staki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utataka tu maana mi nataka😂Staki
Tuombe uzima utaniambiaMlete Prisca aje atueleze
HaahaaahaaaHainaga uchafu ile[emoji28][emoji28][emoji28]
Ndio maana hata hapo kwako unapopaamini wewe unaweza kuta wenzio wanapita mchana na wewe usiku unapata flavor ileile
Tuwatakie heri
Huyu mwanamke n mnafki sana.Anashauri wenzake wavunje ndoa huku yeye akiitafuta
Mie n mtu nlikiwa namfuatilia sana ila nlipokuja achana na kumfuatilia n pale alipoanza kutoa ushauri ambao binafsi sijawahi kuuafiki. Ila kwa ndoa za kikristu hapo hamna ndoa ila ni show of. Hakuna ndoa mara mbilHajawahi shauri mtu avunje ndoa yenye afya ila huwa anasema ukiona ndoa inataka kukuingiza kuzimu wachana nayo. Kitu ambacho ni kweli na sio kwa wanawake tuu hata kwa wanaume
River hatimae pashaanza kupata umaarufuHili nalo la kusifia?
Hana tofauti na wale wa riverside
Mama mzima kuwa na huyu mariooo ndio sifa
Anajiabisha kwa watoto wake
Hii ni from time immemorial imetumikaHiyo style yako ngumu lol
Binafsi kunawanawake hata iweje nisingeweza kuwa nao n mifano ya hao kina dida na kiria n wanawake wenye hulka za kuweka mambo ya ndoa kwenye vyombo vya habari utadhan ndivyo vilivyowaoaKama Dida!?
Wanajaribu karata zao na bahati zaoUnafikiri wanaume wanaojitosa hapo hawaijui historia yake!?
Inawezekana wanapenda wa hivyo
Mume yupi😂😂😂
Mama D hauna migogoro na baba D?Zamani sanaa January nitakualika kwenye anniversary
Hutaki Tena mpenzi wangu[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Staki