Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupi huyo? Maana sasahivi hana mume ila mchumba
Daah hivi ndoa ni muhimu kiasi hiki kwa wadada eh! Huyu joyce tangu namjua yeye stor zake ni za kuolewa tu!!
Afadhali ngoja nikanywe bia maana Leo siku njema[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mimi tayari
Pengine ndiye Joyce mwenyewe. Lolote linawezekana acha ubishi.Kama ni ngumu kusema mbona wewe umesema haigizii..Au unajuaje kuwa ana furahaa kama si kuona hayo maigizo?!
Mama D uchafu upo. Wekà vidole halafu unuse.....au mkono unuse, then nambie Sasa hivi imepata harufu ganiHainaga uchafu ile[emoji28][emoji28][emoji28]
Ndio maana hata hapo kwako unapopaamini wewe unaweza kuta wenzio wanapita mchana na wewe usiku unapata flavor ileile
Tuwatakie heri
mwacheni dada wa wa watu ajipe furaha.
maisha yenyewe mafupi haya. haiwezekani wakati wa mateso yako watesi wako wote walikuwa wanajua na kuona vile anavyopigika.
halafu wakati wa kula bata watesi wako walewale hawataki ule raha hadharani. wanataka ule raha kwa kujifichaficha. wanakusimanga kwa namna unavyojipa furaha waziwazi.
Huyu dada sijui ni mama sio mfano mzuri wa kuigwa, ana matukio ambayo nisingependa mabinti wenye malezi sahihi wa kitanzania wamfuatilie na kumuiga au kumsikiliza.
Ni vile humu nchini kuwa maarufu ni jambo lisilotegemea na umuhimu wa unachofanya ila hakupaswa hata kufunguliwa thread.
Abadilike, umri umeenda pia.
Ni kwanini unadhani wanaigiza?? Mbona vitu alivyofanya hapo ni vya kawaida tu kwenye mahusiano??Hiyo ni furaha ya kuigiza tu, hapo anataka ulimwengu ujue amepata mtu sahihi zaidi ya X wake.
Aaah wapi..nyie ndio ccm lia liaKwa mama D umekosea sana
Kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa giza🤣🤣🤣🤣
Unamaanisha Gwajiboy au!!?Maisha ya binadamu ni kichaka kuna wachafu zaidi yake lakini ukiwakuta kanisani utadhani wameguswa na Roho Mtakatifu.
Usiusemee moyo Mkuu. Chongo kwako kwa mwenzio sio. Kila mtu apambane na hali yake. Kama una roho nyepesi unatafuta njia ya kusepea. Huu mchezo hauhitahi hasira!!As long as huna ushahidi,hujui, them huna sababu ya kuwa na kinyaa. Merciful anajulikana kuwa kaachika Mara 10, vyuo Kumi wenzetu wanaita, nawe unajimwaga humo! Kinyaa