Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Wivu wa nini hata kama angeongwa magari mia!!!

Kumuacha amuache yeye.. kumchafua mitandaoni amchafue yeye kujionyesha gangwe.. now ana mwanamke anampa raha anamuita mario aiseee nicheke tu..😀

Hata kama pesa anaitamani basi..
Ajue kunyamazia mengine shaaaaa
Thanks....
 
Msongo anajitakia mwenyewe maana wadau wanamchamba vibaya mno.
Anashindwa nini kumove on aendelee na maisha yake? Kama kweli anampenda Kileo angekaa kimya wakasolve mambo yao kimya kimya.
Na hata kama Kileo anataka kurudi kwa mke wake sidhani kama ataweza tena maana kila kitu chake kipo exposed, hakuna mwanaume anayevumilia huo ujinga.
"Its hard to see the person you love happy with someone else" ukiielewa hii ndo utajua uchungu anaupitia huyo kilaza ha ha ha ha hivi ni nini kinawafanyaga watu kuona mtu hawezi kupendwa tena kwa sababu we unamchukia? Unamfanyia mtu unaempenda vimbwanga akipata mtu wa kum comfort huko nje unarudi mbio mbio na kujiliza liza mrudiane!
 
Eeeeeh
Mpenzi wake mpya..

Kafanya Joyce akumbuke aliolewa.. huyo demu atakuwa kamzidi kwa mengi.. ingekuwa demu wa ovyo ovyo hana mbele wala nyuma isingemuuma hivi..

Anaisoma namba.. lazima analia tu.. eti kisa gari analoendesha baba watoto..

Huyo mwanamke anatamaa mbaya ya pesa 😁
Sio tamaa ya hela tu, Joy ni narcissist! Ni aina ya wanawake ambao wako verry controlling,,,anaumia kwa sababu ame loose nyororo ya kumburuta mchizi huku na kule!
 
Hii ni ile unaachana na mwanamke kwa ujinga wake..siku ya siku anakukuta na kifaa kipya tena kikiwa kimemzidi kwa kila kitu..hapo lazima apasuke!

Huyu dada alisahau kua mwanaume akomolewi sasa naona unalia et ana MAUMIVU
Jinga sana hili demu sijapata ona! Pumbavu at its best
 
Sio tamaa ya hela tu, Joy ni narcissist! Ni aina ya wanawake ambao wako verry controlling,,,anaumia kwa sababu ame loose nyororo ya kumburuta mchizi huku na kule!
Nilikuwa na mwanamke wa aina hii. Yaani anataka attention kila wakati. Hajui kama upo busy anataka umuwaze yeye tu. Halafu wapo vizuri kwenye speculations. Ukiwa busy atasema kuna mwanamke mwingine ndio upo busy nae. Yaani ni kichomi haswa
 
Nilikuwa na mwanamke wa aina hii. Yaani anataka attention kila wakati. Hajui kama upo busy anataka umuwaze yeye tu. Halafu wapo vizuri kwenye speculations. Ukiwa busy atasema kuna mwanamke mwingine ndio upo busy nae. Yaani ni kichomi haswa
Kaka acha tu wanatesa hao, ila nilijifunza kitu niko makini zaidi ya makini yenyewe, tabia za kijinga nazi screen mwanzoni kabisa wa mahusiano na nakuwa mkali zaidi ya pilipili! Maana ukimuendekeza mwanamke wa hivyo utakuwa unaishi kwa ratiba zake! Ninawaambiaga tu learn to handle rejections, maana ukijifanya kila utakalo lifanyike utaishia kunichukia tu,
 
What goes around comes around ,joyce hata nelly alipitia magumu yako kipindi unamcheat na kamanda.

Mwanamke wa shoka acha kulia lia mbona kwa nelly uliifata kwa nguvu talaka mahakamani. Na huyu usimcheleweshe bana
Ha ha ha ha hivi unadhani kumuacha umpendae ni simple sana kiasi hicho, ni hatari sana!
 
Kwako Kilewo wangu,

Kwanza kabisa nakushukuru sana kwa uwepo wako katika Maisha yangu, UPENDO wako wa awali ulinifanya nione hakuna kama wewe hapa duniani. Ulinipenda, ulinidekeza, ulinijali, ulilinda hisia zangu, uliniaminisha hutakuja kunisaliti, uliniaminisha wewe ni Mume bora na Baba bora na Kiongozi bora. Nikakupenda sana, nikajitoa sana, nikakuheshimu na kukupa Thamani yako yote.
.
Nakushukurua sana kwa Baraka ya Watoto wazuri Lincon & Linston. Kipindi cha Miaka miwili bila Amani kwenye Ndoa yetu hakika wamekuwa Faraja yangu Kubwa sana. Japo muda mwingi nakuwa nimezubaa kwa mawazo, Watoto hujua na kuniuliza "mama mbona unanuna?" Huyo ni Lincon! Basi natabasamu kuwaridhisha wanangu japo Moyo wangu una MAUMIVU makali sana ambayo baba yao kanijeruhi.
.
Mume wangu umeisambaratisha familia yetu bila huruma, umetuacha hapa kama wakiwa. Ujasiri wa kunipiga kote kibao ni huyo MBWA, unafanya biashara nyumbani huleti hata shilingi kwa ajili ya huyo shetani, Huo ndo Uongozi Kweli Mume wangu? huo ndo UKAMANDA Mume wangu?
.
Tulikukosea nini Mume wangu? Unajimilikisha gari ya hawara bila aibu unazurura nayo kila kona , unakuja nayo mpaka nyumbani, ulitaka nikuiteje kama siyo MARIOOO. ulitaka nikuite nani Mume wangu, kama unaweza kuhongwa gari na Kahaba bila aibu unakuja nayo mpaka Kwangu ulitaka nikuiteje ebu niambie??? Sikupata jina baya zaidi hakika ningekuita tuu kwa MAUMIVU uliyonipa..
.
Nashukuru sana umenifanya nijifunze kumpenda MUNGU zaidi kuliko binadamu. Binadam tunabadilika sana. Nilikwambia kwa machozi Mengi sana kwama UNAMPENDA MUOE unipe Talaka. Ukanikatalia hutoki nae japo Dunia inajua ni mchepuko wako. inaumaaaa.. Pata Picha ingekuwa ni Mimi nakuja Nyumbani na gari ya Mwanaume unaesikia natembea nae... Ungekuwa unajiskiaje Mume wangu.

Mume wangu wewe ni Kiongozi, Chagua mwanamke unaempenda umuoe utulie. Ni aibu kujiita KIONGOZI lakini huheshimu familia yako. UONGOZI ni DHAMANA kubwa, unatakiwa uongoze watu kwa mfano mzuri.mfano wa kwanza ni kwenye familia yako Siyo kwenye Taasis, ukatibu wa chama, udiwani, ubunge, Ni nyumbani kwako. Nasikitika Watu wengi wanaokuzunguka wengi hamthamini familia zenu kabisa.. INASIKITISHA!

Source : JKiria Page
Siwezi kuwa upande wako, bila kumsikia
 
Kaka acha tu wanatesa hao, ila nilijifunza kitu niko makini zaidi ya makini yenyewe, tabia za kijinga nazi screen mwanzoni kabisa wa mahusiano na nakuwa mkali zaidi ya pilipili! Maana ukimuendekeza mwanamke wa hivyo utakuwa unaishi kwa ratiba zake!
Noma sana. Yaani Unakuta anakomaa na wewe utafikiri ndiye mama mzazi. Anataka kukupangia kila kitu na wewe uingie kwenye ratiba zake. Atakuendesha kama gari bovu.
 
Karma has never lost its address, wanadamu tujifunze kila unalofanya leo lina impact katika maisha yako ya mbeleni! Ukimfanyia mtu ushenzi aka grieve jua kabisa ipo siku uta grieve in the same manner!

Kama namuona Dj Nelly anavyogida mirinda kipapli papli baridi safiii!!!
What goes around comes around ,joyce hata nelly alipitia magumu yako kipindi unamcheat na kamanda.

Mwanamke wa shoka acha kulia lia mbona kwa nelly uliifata kwa nguvu talaka mahakamani. Na huyu usimcheleweshe bana
 
Kwa Kilewo kashindwa asee.....na asipojirudi atapata kichaa soon!

Moza ni kisu balaa halafu ana mkwanja, na anamkubali jamaa kusalimia tu anapiga goti , mtoto heshima debe,sasa jamaa ataanzaje kurudi kwa Joy kimfano yaani?
Picha ya Moza tafadhali
 
Noma sana. Yaani Unakuta anakomaa na wewe utafikiri ndiye mama mzazi. Anataka kukupangia kila kitu na wewe uingie kwenye ratiba zake. Atakuendesha kama gari bovu.
hawafai hao mkuu! Ukimkazia wapo wanaobadilika ila kama mtu wa kulalamika sana na hana kifua unabwaga manyanga
 
hahaaa this time jamaa kamuweza " kumbe lina wivu bado linampenda mumewe period "... joyce atulie hivyo hivyo wanawake wanaojua kutumia fursa wa muonyeshe show " yeye sialikuwa ana muanika mume wake" sasa alitegemea nini kama sio kunya kuliwa na manyaku nyaku "...., dahh inaonyesha imemchoma kama pasi aisee
Always ipo hivyo, hata wewe ukiachana na demu wako kwa mbwembwe hasa uliempenda sana kisha akapata jamaa mpya aliekuzidi kila kitu lazma u hate tu, unaeza hata ukajikuta unam stalk mitandaoni in stealth mode!
 
Back
Top Bottom