Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una tatizo la kimfumoKumbe unajua kuwa alikuwa anaolewa na Wachagga kwa utamaduni ule ule wa kumfungia chumbani 🐼
Hana jipya siku hizi hakuna mapenzi Bila Hela zamani sana ilikuwa hivyo hata Mimi nimewahi kufaidi mapenzi ya kweli ya Bila pesaView attachment 3016274
Mwanaharakati wa haki za wanawake na mjasiriamali Joyce Kiria, amesema sababu ya Ndoa yake ya kwanza kuvunjika ni kwakuwa hakuingia kwenye Ndoa hiyo kwa Upendo bali ni kwakuwa hakua sawa kiuchumi...
Na huo ndio ukweli sio umaskini TU bali"HOFU YA MSTAKABALI WA MAISHA YAJAYO"Ukishajipata sarakasi zinaanza rasmi!View attachment 3016274
Mwanaharakati wa haki za wanawake na mjasiriamali Joyce Kiria, amesema sababu ya Ndoa yake ya kwanza kuvunjika ni kwakuwa hakuingia kwenye Ndoa hiyo kwa Upendo bali ni kwakuwa hakua sawa kiuchumi...
ana matatizo sana huyu dada.View attachment 3016274
Mwanaharakati wa haki za wanawake na mjasiriamali Joyce Kiria, amesema sababu ya Ndoa yake ya kwanza kuvunjika ni kwakuwa hakuingia kwenye Ndoa hiyo kwa Upendo bali ni kwakuwa hakua sawa kiuchumi..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu bibi hanaga akili. Ni bomu hili amerudi tena?
Nani kalirudisha hilo bibi?
chaiSio ziko nyingi, ndio zilizopo sahivi, Da Joy kaongea ukweli kabisaaa
Ya rangi.chai
Kwani KUZALIWA mahali fulani ni LAZIMA uwe kabila la hapo ulipozaliwa? Mfano Msukuma aliyezaa watoto wake Dar es Salaam hao watoto ni wasukuma au wazaramo eti tu kwa sababu wamezaliwa Dar?Sio Kweli huyo alizaliwa Kibosho hiyo ni Kibosho Org kabisaa Wamarangu niwajuavyo very classic sio hii
Vyovyote vile Joyce Kiria ni Mkibosho na sio MmaranguKwani KUZALIWA mahali fulani ni LAZIMA uwe kabila la hapo ulipozaliwa? Mfano Msukuma aliyezaa watoto wake Dar es Salaam hao watoto ni wasukuma au wazaramo eti tu kwa sababu wamezaliwa Dar?
Here We Go.Joyce Kiria (alizaliwa Marangu, Mkoa wa Kilimanjaro, mnamo Desemba 1980). Kwa sasa ana Miaka 44, ni MCHAGA
Hata za jinsia moja?Sio ziko nyingi, ndio zilizopo sahivi, Da Joy kaongea ukweli kabisaaa
Huyu dada atakuwa na ugonjwa wa akili siyo bure.UZURI WA MITANDAO IJAWAI KUSAHAU KUMBUKUMBU HAPA ALIKUWA ANA MTAFUTA NANI?
View attachment 3016359
Wewe umejifunza nini cha maana kutoka kwa Joyce Kiria?King,
Hakuna mtu mzuri wa kukupa ushauri kama mtu aliyepitia jambo hilo analokushauri sababu anaelewa madhara yake...