Joyce Kiria: Nilikubali kuolewa kwasababu ya umaskini na sio upendo

Joyce Kiria: Nilikubali kuolewa kwasababu ya umaskini na sio upendo

Ndio ukweli wenyewe baadhi ya wanawake wengi wanakubali kuolewa na viboba wenye hela si kwa sababu ya upendo,bali ni njaa.

Nina mwanangu demu wake walianza nae tokea advance, baadae demu kaja kupata meneja wa bank kipindi anafanya field akaja kumwacha mwana na mwana sio kwamba alikuwa yupo hovyo,yupo vizuri kwa mwezi alikuwa anakunja kama 1-1.5m na alikuwa anampatia demu mahitaji yake ya msingi,ila demu akapagawa na luxury za meneja.

Mwaka ambao jamaa alipanga atoe mahali ,yule meneja akamovertake kutoa mahali na kuoa kabisa.

Mwamba ilimuuma alikuwa mnene na kitambi chake,ila ndani ya wiki alipungua kama Leonard wa Cheka tu.Baada ya mwaka akakubaliana na hali halisi,ikapita kama miaka miwili demu aksrudi akawa anamsumbua jamaa,awe hata kidumu chake ila mwana kamatolea nje,japo hajakata tamaa,mpaka kesho demu anamsumbua jamaa.

Kwa wanawake wa siku hizi wengi wao,hamna anaye angalia true love mbele ya pesa,lazima mwenye pesa ashinde,sababu mademu wengi wana njaa.
 
Sio ziko nyingi, ndio zilizopo sahivi, Da Joy kaongea ukweli kabisaaa
Na ndiyo hadi watoto wasiyo wetu mnatuletea kwenye ndoa za ku fake! Sasa hivi kila mtoto atakaezaliwa ni mwendo wa DNA kwanza!!
 
Da Joy sio ! [emoji38] ,Umenikumbusha kuna jamaa yangu mmoja yupo kijijini Kingua(Mahilo) ana mchepuko wake Mbinga mjini anamwita~ga Da Shida, mwanamke mtata hatari lakini jamaa yupo naye miaka mingi hadi mkewe anajua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi wa huku Ruvuma, tushazoea Da fulani,
 
Na ndiyo hadi watoto wasiyo wetu mnatuletea kwenye ndoa za ku fake! Sasa hivi kila mtoto atakaezaliwa ni mwendo wa DNA kwanza!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii hatarii sasa, aaaah
 
Tunajua nyinyi ni zaidi ya chuma ulete,mtaendelea kupewa hela ya mboga tu,hachumwi mtu hapa, tutaishi nanyi na kuwajali kiasi kwa kuwa kuna watoto
 
hapo kuna ukeli ndani yake, kwa mantiki hiyo inatupasa kuishi nao kwa akili nyingi
 
Kwa sasa ana ndoa? je hii ya sasa aliingiaje? ataje mali zake alizoingia nazo huko aliko.
Ila hawa viumbe ni shida sana.
 
Huyo demu bado yupo na meneja?
Ndio ukweli wenyewe baadhi ya wanawake wengi wanakubali kuolewa na viboba wenye hela si kwa sababu ya upendo,bali ni njaa.

Nina mwanangu demu wake walianza nae tokea advance, baadae demu kaja kupata meneja wa bank kipindi anafanya field akaja kumwacha mwana na mwana sio kwamba alikuwa yupo hovyo,yupo vizuri kwa mwezi alikuwa anakunja kama 1-1.5m na alikuwa anampatia demu mahitaji yake ya msingi,ila demu akapagawa na luxury za meneja.

Mwaka ambao jamaa alipanga atoe mahali ,yule meneja akamovertake kutoa mahali na kuoa kabisa.

Mwamba ilimuuma alikuwa mnene na kitambi chake,ila ndani ya wiki alipungua kama Leonard wa Cheka tu.Baada ya mwaka akakubaliana na hali halisi,ikapita kama miaka miwili demu aksrudi akawa anamsumbua jamaa,awe hata kidumu chake ila mwana kamatolea nje,japo hajakata tamaa,mpaka kesho demu anamsumbua jamaa.

Kwa wanawake wa siku hizi wengi wao,hamna anaye angalia true love mbele ya pesa,lazima mwenye pesa ashinde,sababu mademu wengi wana njaa
 
Back
Top Bottom