Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Maana yake unajua.apo ni jibu tosha kua sihudumiwi na wala sijawahi
Pole mwanamama, fanya kazi kwa bidii.
Uwe na siku njema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana yake unajua.apo ni jibu tosha kua sihudumiwi na wala sijawahi
UmeanzaSio ziko nyingi, ndio zilizopo sahivi, Da Joy kaongea ukweli kabisaaa
nipe hongera mkuu pole yanini apoMaana yake unajua.
Pole mwanamama, fanya kazi kwa bidii.
Uwe na siku njema.
Sio Kweli huyo alizaliwa Kibosho hiyo ni Kibosho Org kabisaa Wamarangu niwajuavyo very classic sio hiiJoyce Kiria (alizaliwa Marangu, Mkoa wa Kilimanjaro, mnamo Desemba 1980). Kwa sasa ana Miaka 44, ni MCHAGA
Ha ha ha has Hendry Kilewo mmewe wa pili alikuwa mahabusu ha ha ha ha sasa anae huyo wa tatu wanasema kafanana na Lokole ha ha haUZURI WA MITANDAO IJAWAI KUSAHAU KUMBUKUMBU HAPA ALIKUWA ANA MTAFUTA NANI?
View attachment 3016359
Huyu binti amechanganyikiwaView attachment 3016274
Mwanaharakati wa haki za wanawake na mjasiriamali Joyce Kiria, amesema sababu ya Ndoa yake ya kwanza kuvunjika ni kwakuwa hakuingia kwenye Ndoa hiyo kwa Upendo bali ni kwakuwa hakua sawa kiuchumi.
Kwa upande mwengine Kiria amewashauri wanawake wasiingie kwenye Ndoa kwaajili ya kupunguza ugumu wa maisha, bali waingie kwa Upendo wa kweli.
Credit - HabariMtandaoni
Habari za Marangu Dada?Sio Kweli huyo alizaliwa Kibosho hiyo ni Kibosho Org kabisaa Wamarangu niwajuavyo very classic sio hii
Hapana mimi sio mchagaHabari za Marangu Dada?
Wanawake na upendo wa kweli wapi na wapi.Kwa upande mwengine Kiria amewashauri wanawake wasiingie kwenye Ndoa kwaajili ya kupunguza ugumu wa maisha, bali waingie kwa Upendo wa kweli.
Kuna wanawake siku hizi wamechachuka hatari, kuongelea faragha zao kwenye media ni fashion.dah maisha haya ww ufanye alafu uwashauri wenzako wasifanye...... mda mwingine nawaangalia hawa wanawake wa mjini
🤣 🤣 🤣Uchaguzi umekaribia
Uchagani Ndoa zao ni kama zile za " mkeka" sijui kama utamaduni huo ulifutika
🤣 🤣 🤣Kataa ndoa wamechukua points 3 mhimu😀
👏👏👏🤝👍ukishakuwa na umri mkubwa hivi, kukaa kimya nayo ni hekima. Experience yako usije uka-generalize kwa kila mtu..
wanawake na wanaume do not take advice from miserable people kwasababu kila ushauri atakuwa kupa uko katika mtazamo wa alichokipitia yy
Huyu dada nikimsikia napata kichefu chetu kabisa.View attachment 3016274
Mwanaharakati wa haki za wanawake na mjasiriamali Joyce Kiria, amesema sababu ya Ndoa yake ya kwanza kuvunjika ni kwakuwa hakuingia kwenye Ndoa hiyo kwa Upendo bali ni kwakuwa hakua sawa kiuchumi.
Kwa upande mwengine Kiria amewashauri wanawake wasiingie kwenye Ndoa kwaajili ya kupunguza ugumu wa maisha, bali waingie kwa Upendo wa kweli.
Credit - HabariMtandaoni
Da Joy sio ! 😆 ,Umenikumbusha kuna jamaa yangu mmoja yupo kijijini Kingua(Mahilo) ana mchepuko wake Mbinga mjini anamwita~ga Da Shida, mwanamke mtata hatari lakini jamaa yupo naye miaka mingi hadi mkewe anajuaSio ziko nyingi, ndio zilizopo sahivi, Da Joy kaongea ukweli kabisaaa
Akili ni muhimu sana kuwa nazo. kama huna unaweza ukaropoka miropoko mingi sanaView attachment 3016274
Mwanaharakati wa haki za wanawake na mjasiriamali Joyce Kiria, amesema sababu ya Ndoa yake ya kwanza kuvunjika ni kwakuwa hakuingia kwenye Ndoa hiyo kwa Upendo bali ni kwakuwa hakua sawa kiuchumi.
Kwa upande mwengine Kiria amewashauri wanawake wasiingie kwenye Ndoa kwaajili ya kupunguza ugumu wa maisha, bali waingie kwa Upendo wa kweli.
Credit - HabariMtandaoni