Joyce Kiria: Nilikubali kuolewa kwasababu ya umaskini na sio upendo

Joyce Kiria: Nilikubali kuolewa kwasababu ya umaskini na sio upendo

Hii alishaisema sana aliolewa kwa sababu alikosa kodi ya chumba.

Kibaya sana siku moja miaka ya nyuma baada ya kuachana, akamkandia live kwenye kipindi chake cha tv kwamba mwanaume mwenyewe mweusi yaani yule dj.

What goes around comes around. Kafikia hatua ya kuwa na mume wa dizaini ya 'lokole'.
 
View attachment 3016274

Mwanaharakati wa haki za wanawake na mjasiriamali Joyce Kiria, amesema sababu ya Ndoa yake ya kwanza kuvunjika ni kwakuwa hakuingia kwenye Ndoa hiyo kwa Upendo bali ni kwakuwa hakua sawa kiuchumi.

Kwa upande mwengine Kiria amewashauri wanawake wasiingie kwenye Ndoa kwaajili ya kupunguza ugumu wa maisha, bali waingie kwa Upendo wa kweli.

Credit - HabariMtandaoni
Kwahiyo wavumilie wafe njaa! Au yuko tayari kuwaBoom.
 
ukishakuwa na umri mkubwa hivi, kukaa kimya nayo ni hekima. Experience yako usije uka-generalize kwa kila mtu..

wanawake na wanaume do not take advice from miserable people kwasababu kila ushauri atakuwa kupa uko katika mtazamo wa alichokipitia yy
 
Kila nikitaka kumpuuza mwanamke nafikiria na mimi nina mtoto wa kike narudi nyuma!
Hata hivyo mwanamke kwa ujumla wa yote ni mtatanishi sana, maisha yanakuwa mabaya zaidi nusu sababu ni wao.
Unachosema hapa ni tukibaki wanaume tu ubaya nusu uliosababishwa na wao utakwisha. Sahihi?
 
UZURI WA MITANDAO IJAWAI KUSAHAU KUMBUKUMBU HAPA ALIKUWA ANA MTAFUTA NANI?
GFGJGJGGKGK.JPG
 
usitupangie tunajua nini tunafanya,,kisa wewe ulihitaji msaada na ukasaidiwa, sisi hautaki tusaidiwe sio? nasisi saivi tunafanya kama wewe ili tuje tujute mbele ikiwa tayari tushatoboa kama wewe.
 
View attachment 3016274

Mwanaharakati wa haki za wanawake na mjasiriamali Joyce Kiria, amesema sababu ya Ndoa yake ya kwanza kuvunjika ni kwakuwa hakuingia kwenye Ndoa hiyo kwa Upendo bali ni kwakuwa hakua sawa kiuchumi.

Kwa upande mwengine Kiria amewashauri wanawake wasiingie kwenye Ndoa kwaajili ya kupunguza ugumu wa maisha, bali waingie kwa Upendo wa kweli.

Credit - HabariMtandaoni
Umesema ni " Mjasiriamali"!! anafanya biashara gani?
 
usitupangie tunajua nini tunafanya,,kisa wewe ulihitaji msaada na ukasaidiwa, sisi hautaki tusaidiwe sio? nasisi saivi tunafanya kama wewe ili tuje tujute mbele ikiwa tayari tushatoboa kama wewe.
Unahudumiwa ?
 
wanawake na wanaume do not take advice from miserable people kwasababu kila ushauri atakuwa kupa uko katika mtazamo wa alichokipitia yy
King,

Hakuna mtu mzuri wa kukupa ushauri kama mtu aliyepitia jambo hilo analokushauri sababu anaelewa madhara yake.

nenda kamsome oprah winfrey maisha aliyoyapitia na elimu anayowapa watoto wakike na scholarship anazozitoa zaidi ya wanafunzi 500+k na ana utajiri zaidi ya mo dewji 3+ bilioni usd.

Mimi nina ndugu yangu alifungwa miaka27 akatoka kipindi cha magufuli kwa msamaha, ilibidi ahukumiwe kifo. Alipotoka alikuwa kama akili imeruka na mara nyingi anakuambia mdogo wangu LINDA SANA UHURU ULIONAO KWA GHARAMA YOYOTE.

nasikiliza zaidi mtu aliyepitia katika tatizo hilo kuliko ambae hajawahi kupitia sababu huyo ndio mwalimu mzuri zaidi. Kuna watu wanapitia hali fulani ili ije kuwa funzo kwa wengine.
 
Back
Top Bottom