Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Ubongo wa mende kama wako ndio unaotufanya tunateseka kama Taifa, yaan wewe kuongea kiingereza ni deal sanaaa kuliko message aliokuwa akiifikisha? Waingereza wangapi tena viongozi wanaboronga kiswahil na huleti uzi hapa? Acha ujinga bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikupe pole kwa ndoto zako za mchana
 
Sasa hiyo meseji tunaipataje kama anaongea upupu ???..
 
Wasema nina uelewa mdogo sana, then unasema nikivuka malawi dogo anachunga ng'ombe lakini anaongea kingereza vizuri hivyo anafaa kuwa Raisi, mbona kama hujui unachoongea mkuu? Yani unafafanisha PhD holder aliyesomea kwa lugha ya kingereza na mtu anayeongea kingereza toka kwenye nchi wanayotumia hiyo lugha?
So mimi na wewe nani uelewa wake ni finyu??
Hivi unatetea huyo waziri kutokujua kingereza au unasema kuwa anakifahamu?
Mwisho PhD yake kafanya kwenye nchi wanayotumia kingereza na siyo China wala Germany kama hukuwa na taarifa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Level gani hiyo ambayo tunasoma kwa kiswahili? Nadhani hujui unachoongea wewe. Swala la mimi nikawe waziri limefikaje hapa au kuna mtu kasema atoke kwenye uwaziri? Pathetic
we utakuwa ma matatizo kichwani tz tunasoma kwa kiswahili au unataka kuleta ligi tu basi nenda wewe kawe waziri wa elimu tukuone unavyoongea english

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo vigezo vyako haviuondoi ukweli kwamba hatuna utamaduni wa kuongea kingereza tangu utotoni.

Huyo waziri ni sehemu tu ya watanzania wengi ambao majumbani hawana utaratibu wa kuongea muda wote kingereza tofauti na hawa watoto wa kizazi cha sasa wanaosoma hizi shule za kisasa.

Tuliosoma bure enzi za Nyerere kingereza ni mtihani kwani hatukulelewa katika mazingira ya kingereza muda wote tofauti na Kenya, Afrika ya kusini na Nigeria.
 
Ila kweli inachekekesha na kuleta maswali mengi, waziri wa elimu hawezi kuongea sentensi moja ya kingereza iliyonyooka!! Achana na jiwe mana huyo ndiyo balaa sasa na wote wana PhD eti

Sent using Jamii Forums mobile app
Majukumu yao wanayatimiza kwa umahiri mkubwa sana mpaka ujumbe unawafikia hao wenye kukijua kingereza vyema.
 
Kati ya hawa mawaziri Wahutu ni Mpango pekee yake ndio huwa anatema yai lakini huyu mama na Kigwa na wenzake ni bure kabisa
Mkuu imhotep inawezekana hata wewe ukipewa hizo nafasi kubwa ukatakiwa utoe mhadhara mbele ya umati ukajikuta unazichanganya past na present tense, hilo lugha huwa hatuiongei mtaani wakati wa kununua maua au nyanya sokoni.

Tofauti na Kenya, Nigeria na South Africa, tunakosa kujiamini kwani hatuna utamaduni wa maongezi ya kingereza ya kila siku.
 
Hiyo Phd yake lugha aliyotumia kuipata ni kingereza, kushindwa kuzungumza kingereza vizuri ni lazima tuwe na mashaka research na thesis alizifanyaje?
Angekuwa Mrusi au mchina ingeeeweka lakini kaipata kwa Kingereza
Vyuo hutumia idara za lugha kuwasaidia wanafunzi wenye matege ya lugha kunyosha kazi zao.
Ni huduma inayolipiwa na mhusika. Hata mitaani kuna huduma hii.
Tusisahau msimamizi pia humsaidia mwanafunzi wake kuweka lugha vizuri.
 
Binafsi huwa naamini ni rahisi zaidi kuzungumza lugha yoyote ile kuliko kuandika endapo utakuwa ktk jamii ambayo lugha husika hutumika. Kinachoniogopesha kuhusu hawa wasomi wetu baadhi yao hasa hasa waliofika ngazi ya uzamivu (PhD) kama huyu mama ni kushindwa kuzungumza lugha anayoitumia kila siku kwa ufasaha.

Kwa hadhi yake kama waziri, mtafiti na mtaaluma nina uhakika kwa siku ktk masaa 8 ya kazi si chini ya masaa 3 hutumia lugha ya kiingereza kuwasiliana na wadau mbali mbali ktk sekta ya elimu. Hofu yangu kubwa ni je hata uwezo wake kiutendaji unafanana na uzungumzaji wa lugha kiingereza?
 
Mkuu una Hoja ya msingi sana, yaani huyu ndie waziri wetu tena wa elimu !!.
 
Hizi Fitina Jamani, huyo Mama amekukosea nini?
Fitina Hazijenga Mzee wa Heru Juu . Elimu siyo kuongea kiingereza.
Ni zwazwa huyo waziri wenu, ni heri hata wale wanafunzi waliowafukuza pale Udom mwaka ule wakiwaita vilaza, hivi nani kilaza kati wale wanafunzi na ndalichako na magu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…