Punguzq hasira ndugu.Huna akili ,aliyekwambia kujua English ndiyo ishara ya usomi ni nani?
Karne hii bado unaamini anyeongea kiingereza vizuri ndiyo msomi??
Hovyo kabisa ,shithole mind.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kama chakudifainia hiviWacha kutuvunjia heshima sisi walimu, hujui tupo wengi sana hapa Tanzania?
In God we Trust
Inawezekana alikulia urusiHiyo Phd yake lugha aliyotumia kuipata ni kingereza, kushindwa kuzungumza kingereza vizuri ni lazima tuwe na mashaka research na thesis alizifanyaje?
Angekuwa Mrusi au mchina ingeeeweka lakini kaipata kwa Kingereza
ExactlyHuu mjadala uendelee kwa kiingereza.
Huu mjadala uendelee kwa kiingereza.
Inawezekana mkuuInawezekana alikulia urusi
In God we Trust
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hicho ni kiingereza cha ndani kabisa huko UK na ukiwa kilaza lazima mama akuache, mama anaongea KiEnglish makini sana..
Kama uprofesa wa kibongo ndiyo hivi kweli elimu tanzania hakuna.Ni wizi tuu ndiyo maana hatuuziki katika soko la ajiraJoyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini?
Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya kwanza ni pale alipokuwa anamtishia Mkandaarasi wa kichina kuwa nitakusweka ndani (You will stay inside)
USHAURI:
Namshauri Mh Waziri awe anaongea kwa Kiswahili tu au awe anasoma hotuba alizoandikiwa na wataalamu. Kinyume chake anadhalilisha PhD yake na Vyuo vilivyompa hizo shahada.
Zaidi soma: Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?
View attachment 1355606
Vyeti vyake vimeandikiwa kwa kiswahili au kiingereza?Huna akili ,aliyekwambia kujua English ndiyo ishara ya usomi ni nani?
Karne hii bado unaamini anyeongea kiingereza vizuri ndiyo msomi??
Hovyo kabisa ,shithole mind.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawapendi kwenda huko maana hayo ma PhD yao ndiyo kikwazo
Vyeti vyake vimeandikiwa kwa kiswahili au kiingereza?
Wewe jamaa naona una nia ya kutufukuza kisiasa
In God we Trust
Mbona aliamasisha wafanyakazi wa serikali wasio maliza kidato Cha nne wafukuzwe wakati yeye mwemyewe hamnazoHii nayo ni habari?
Jamani tuache ujinga basi maana nyie wenyewe mfumo wetu wa elimu mnaujua.
Mtu mwingine mpaka anapata PhD neo analoweza kulitamka kwa ufasaha ni 'is'.