infinix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 2,096
- 2,150
Punguzq hasira ndugu.Huna akili ,aliyekwambia kujua English ndiyo ishara ya usomi ni nani?
Karne hii bado unaamini anyeongea kiingereza vizuri ndiyo msomi??
Hovyo kabisa ,shithole mind.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama elimu huna basi kubali kwamba wewe huna elimu.
Yaninj kuwa na waziri wa elimu asiyekuwa na elimu????
Sent using Jamii Forums mobile app