Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

askari wetu hawakubali hayo,je huu ni upungufu wa mamlaka na utekelezaji wa sheria?
 

Kwa mfano Traffic akinikamata akaniomba Leseni na sina kwa muda huo najua unaweza kuipeleka within 24hrs. Je sheria inasema uache gari mpaka utapopeleka Leseni?
 
Kama kuna nay Statute inayoonyesha naomba muiweke hapa tuweze download na kujisomea.
 
Hao polisi wa marekani siyo tanzania kwanza kabla ya swali kofi
 
Ukidakwa na polisi cha kwanza ni kujipiga Tanganyika jek mengine ndiyo yanafuata
 
Mmh! Bac sawa kwa kutujuza tatizo mamwera wa kibongo hawanaga izo kwanza ukikamatwa tanganyika jek inahuc utaanzia wap kuuliza maswali hayo
 
Polisi Wenyewe Haki Za Raia Hawazijui!! Wao Wanachokijua Ni Vipigo Tu!! Na Upelelezi Wao UMEEGEMEA Kupiga Watuhumiwa Na Kuwalazimisha Kukiri Tuhuma Wanazotuhumiwa Kwa MATESO!!!! Wakifikishwa Mahakamani Ushaidi UNAKOSEKANA!!!! Ila Ndio Hivyo Tena Mtuhumiwa Anakuwa Kilema!!
 
My Take ,

Police wetu watii sheria bila shuruti kwanza ndipo nasi tutatii kwa uzuri zaidi ila wao hawatii sheria ana hawazijui sheria Police wamejisahau as if wao ndio wako juu ya sheria wakati wao ndio wanapaswa kukupa mwongozo uitambue haki yako ukiwa Police.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…