Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Kama hayo yanatoka moyoni kwake n kwanini aliacha ubnge na kujarbu kukimbilia Ikulu? "Watu wanao kimbilia ikulu tuwangope kama UKIMWI"
Tehe tehee! Nyani haoni kundule, ndio alijaribu kukimbilia, je aliyejaribu kukimbilia na kufanikiwa kuingia vipi? Tena kwa kuchafua wenzake na kutumia vijisenti vya EPA!!!
Tofautisha kati kuombwa kwenda Ikulu na kujaribu kukimbilia Ikulu tena kwa ushawishi wa Vijisenti.
POLICCM oyeee
TBCCM oyee