Julius K. Nyerere: Ikulu ni pahali patakatifu, sio pango la wanyang'anyi

Julius K. Nyerere: Ikulu ni pahali patakatifu, sio pango la wanyang'anyi

Mahari (inayojulikana kama trousseau au tocher au, katika Kilatini, dos) ni pesa, mali, au mali isiyohamishika ambayo mwanamke huleta mumewe katika ndoa. [1] Hii inatofautishiana na ada ya mwali, ambayo hulipwa kwa wazazi wa bibi, na dowa, ambayo ni mali yanayowekwa kwa bibi mwenyewe kwa bwanaharusi wakati wa ndoa. Utamaduni huo huweza kkuzingatia
mahari na ada ya mwali. Mahari ni desturi ya zamani, na uwepo wake huweza vizuri umetangulia kurekodiwa kwake.

Source wikipedia swahili
 
Mahari (inayojulikana kama trousseau au tocher au, katika Kilatini, dos) ni pesa, mali, au mali isiyohamishika ambayo mwanamke huleta mumewe katika ndoa. [1] Hii inatofautishiana na ada ya mwali, ambayo hulipwa kwa wazazi wa bibi, na dowa, ambayo ni mali yanayowekwa kwa bibi mwenyewe kwa bwanaharusi wakati wa ndoa. Utamaduni huo huweza kkuzingatia
mahari na ada ya mwali. Mahari ni desturi ya zamani, na uwepo wake huweza vizuri umetangulia kurekodiwa kwake.

Source wikipedia swahili

when they fail ro argue, they they opt joke, probably they are jokers...
 
umesahau kuna watu wanajisafisha kwa kupita kugawa pesa makanisani na miskitin ili waingie ikulu
 
THE 23rd QUALM
Bill Clinton is my shepherd,
Whom I do not want.
He maketh many lies about green pastures.
He leadeth me beside the still factories.
He restoreth my doubt
3
about the Democratic Party.
He leadeth me in the paths of
Socialism for his name's sake.
Yea, I will walk through the shadow of debt.
And I will fear much evil, for he is with me.
And Hillary Rodham and her staff,
they discomfort me.
He preparest a tax hike for me,
to give presents to mine enemies.
He anointest my wages with inflation,
so that my expenses runneth over my income.
Surely poverty and hard times shall follow me,
All the days of his administration,
And I will dwell in a rented HUD house forever.
- Anonymous
 
Baba yetu,ulitujengea taifa lisilo na ukabila japo ni taifa lenye makabila zaidi ya 120, hukuacha udini katikati yetu,ulisimamia uchumi wa nchi na ufisadi haukuonekana katika kipindi chako ikulu haikuwa inatorosha wanyama wetu wa polini kwenda nje ya nchi, hukufanya propaganda za kisiasa kama vile ikulu inavomwita Lipumba kwenda ikulu na kumpa nobel ya amani, wakati huo huo ikulu haitaki kuunda tume ya kijaji kuchunguza mauaji ya Arusha kwa njia mlipuko wa bomu,tulikuwa hatubambikizwi kesi za ugaidi....


Ikulu sasa ni mahali panapofanyika mikataba ya kuhujum madini,ges,ardhi, wanyama wa polini nk..ccm inabaka demmokrasia, polisi imeruhusiwa kutupiga tu....Baba yetu, watanzania hatupo kama vile ulivotuacha, ila tutajikomboa hivi karibuni...chama chako kitapumzika, likitimia hili, usitulaum watanzania, utupongeze kwa kurejesha heshima ya ikulu yetu.....
Ni kweli Ikulu imebadilika sana. Kwani hata Pengo uliyekuwa umempa makazi Ikulu ametimuliwa. Na sasa ni mwanaharakati wa kisiasa. Mwaka 2010 aliongoza waamini wake akatengeneza election manifesto ya kanisa bila kusajili chama na akaikabidhi kwa Slaa baada ya kuona better chance uliyoiahidi kanisa katoliki wakati wa uhai wako ikiporomoka baada ya watu wengine kuanza kuhoji haki zao. Udikteta umepungua na watu wa uhuru wa kujieleza siyo kama ilivyokuwa wakati wako. Ile mikanda uliyotufunga kwa kipindi cha miezi 18 na baadaye kuendelea indefinitely imeanza kupungua japo kwa kidogo maana ulitufikisha kwenye impossible kabisa. Wale Wazanzibar uliowaweka kwenye ukoloni kupitia muungano feki wameanza kujitambua na sasa kuna Zanzibar Nationalism yenye lengo la kukataa ukoloni wako. Wale waislamu waliokukaribisha mjini na baadaye kukupa suruali badala ya vikaptula ulivyokuja navyo kutoka Butiama bado wanakukumbuka kwa ubaya uliowafanyia. Wanasema Mungu aendelee kukuchoma katika moto wake ili yawe malipo kwa dhuluma ulizowafanyia. Siku hizi hakuna tena foleni za dona la njano kutoka Marekani kwani unga nzuri wa mahindi, mchele kutoka Mbeya, maharage na sukari kutoka ndani na nje vinakosa walaji madukani.

Yale matope ya kariakoo ambayo Mwinyi alianza kuyapunguza kwa kujenga barabara za lami sasa sehemu kubwa hayapo. Sehemu kubwa ya barabara za nchi zina lami na hivyo lile vumbi ambalo ulilipenda sana hasa ulipokuwa unasafiri kwa gari kwenda Butiama kupitia Dodoma, Singida, Shinyanga Mwanza hadi Musoma halipo tena. Safari kutoka Butiama kwenda Dar kwa gari sasa inawezekana tena kwa masaa na siyo masiku kama ilivyokuwa enzi zako za Ujamaa wa Kikatoliki. Haya yote yamefanyika katika kipindi kisichozidi miaka kumi ingawa wewe ulitawala kwa miaka 24 ambapo kwa aibu uliishia kuwaambia Wadanganyika kufunga mikanda. Hali nchi imebadilika sana. Unaweza kutumia microscope za huko kuzimu uliko kuona Tanganyika ilivyo mahali pazuri pa kuishi ukilinganisha na wakati wa utawala wako wa kiimla. Hatujakumiss sana ila tunakukumbuka ulivyotutesa kwa kufua nguo kwa majani ya mipapai, midaha kama dawa za meno, lakini mbaya zaidi ni pale watu walipovaa jute kama mahindi ya kuhifadhiwa ghalani. Daaah ulikuwa noma kichizi. Nchi ilikushinda kuliko ilivyomshinda Kikwete. Ulikuwa worst president ever happened under the sun.
 
attachment.php

Ipe maneno picha hii!!Tambua hao ni akina nani??
 

Attachments

  • Ikulu mahali patakatifu!.jpg
    Ikulu mahali patakatifu!.jpg
    97 KB · Views: 1,836
ikulu ya sasa ata mateja wana jirisha...cc ray c
 
Mercedes Benz zime pack kwa Nyuma zinawasubiri Wana Ujamaa na kujitegemea!!
 
Mercedes Benz zime pack kwa Nyuma zinawasubiri Wana Ujamaa na kujitegemea!!

hii mambo ya ujamaa halafu ujitegemee ni sawa na fumbo la imani kwa wakatoliki maana ni full michanganyo mazee
 
Nyerere and his cronies, just before giving up the gun.

Out of all, Nyerere pekee amekaa kama mtu aliyeenda British public (that is to say private) school.

Kutoka kushoto wa kwanza Habib Halahala, mwenye shati la njano Paul Sozigwa, Prezidaa Mkuu wa Kaya Baba Kabwela aka Haambiliki Nyerere mwenyewe, baada ya Nyerere Hashim Mbita, then Mkuu wa Kaya wa awamu ya tatu Che Nkapa.

Wote waliwahi kuwa waandishi wake Nyerere.
 
attachment.php

Wa kwanza Kushoto ni Marehemu Habib Harahara aliyekuwa Mwandishi wa habari wa Raisi R.I.P Wapili simfahamu ila Wa Tatu hapo ni Marehemu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.. Wa Nne naye Simfahamu na Wa Tano ni Raisi Mstaafu Benjamin William Mkapa...
 
attachment.php

Wa kwanza Kushoto ni Marehemu Habib Harahara aliyekuwa Mwandishi wa habari wa Raisi R.I.P Wapili simfahamu ila Wa Tatu hapo ni Marehemu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.. Wa Nne naye Simfahamu na Wa Tano ni Raisi Mstaafu Benjamin William Mkapa...

Nakumbuka Habib(RIP) aliuawa na panga la helikopta.
 
....


...ha ha ha ha mwenyepicha ya mkatamavuno aka bwia sembe Arushe tafadhali!!!!!
 
Back
Top Bottom