Julius K. Nyerere: Ikulu ni pahali patakatifu, sio pango la wanyang'anyi

Julius K. Nyerere: Ikulu ni pahali patakatifu, sio pango la wanyang'anyi

.....

......litoto rizuri harafu linabwiya unga!!!!!
 

Attachments

  • jkrayc.jpg
    jkrayc.jpg
    36.8 KB · Views: 164
Kila nafsi itaonja umauti, alikuwa akiwahi kuchukua kumbukumbu za Matukio muhimu kwa Ajili ya Ndugu Sozigwa Gwiji la Propaganda za kujenga Umoja na Mshikamano!

Na yale "Mazungumzo baada ya Habari" ni Paul Sozigwa alikuwa akiandika na SS Mkamba kuyasoma kwa ustadi wa hali ya juu.

Nafikiri mzee Sozigwa nae ni mmoja wa wale walijifunza uandishi wa propaganda kule iliyokuwa USSR ambayo sasa ni Russia.
 
sasa hivi ikulu imekuwa pagari la wavuta unga na majangili wa pembe za ndovu
 
Nyerere and his cronies, just before giving up the gun.

Out of all, Nyerere pekee amekaa kama mtu aliyeenda British public (that is to say private) school.

Kutoka kushoto wa kwanza Habib Halahala, mwenye shati la njano Paul Sozigwa, Prezidaa Mkuu wa Kaya Baba Kabwela aka Haambiliki Nyerere mwenyewe, baada ya Nyerere Hashim Mbita, then Mkuu wa Kaya wa awamu ya tatu Che Nkapa.

Wote waliwahi kuwa waandishi wake Nyerere.

halahala ndiye aliye pata ajali ya kukatwa kichwa na pangaboi la helkopta enzi za mzee mwinyi?
 
attachment.php

Wa kwanza Kushoto ni Marehemu Habib Harahara aliyekuwa Mwandishi wa habari wa Raisi R.I.P Wapili simfahamu ila Wa Tatu hapo ni Marehemu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.. Wa Nne naye Simfahamu na Wa Tano ni Raisi Mstaafu Benjamin William Mkapa...

wa 4,ni Rais mstaafu,mwinyi
 
Umenoa mkuu Kiranga keshasema ni Hashim Mbita

Picha ya Nyerere na walioawahi kuwa waandishi wake, wote hao waliwahi kuwa waandishi wake inaonekana alikuwa anawashukuru kabla ya kustaafu urais 1985.

Again, that's Habib Halahala, Paul Sozigwa, Mwl. Julius Nyerere, Brig. Gen Hashim Mbita, Pres. Ben Mkapa.
 
Enzi za huyo Mzee aliekuwa katikati watu walikua hawaingii bila sababu muhimu sana na uwe umeshapitia ngazi nyingi saana la sivyo kama ni shida ndogo ndogo utamaliziwa huko huko kabla hata hujaingia ndani

wanafunzi wa chuo kikuu whether in group or individually walikua wanapeleka shida zao ikulu straight
 
Ndugu wana jf habarini na poleni na uchaguzi wa kalenga.

Hoja yangu ipo au inalenga ikulu...
Hiki ni chombo kilichojipatia hadhi kubwa sana enzi za mwl nyerere kipindi hichooo.

Sasa hadhi yake imeshuka kutokana na walanguzi wa uongozi kutinga pale... kila mtu anataka kuwa rais mf; deogratius yule wa nccr eti nae ana ndoto za urais.

Kwakweli wenzetu hawa wamepafanya paonekane kama ni pango la walanguzi hawa akina dovutwa hata kifikra tu ni wachanga sana nao wanalilia pale.
Ikulu jamani panawaziwa sasa na wendawazimu.

Iacheni ikulu yangu ya nyerere ipate hadhi yake...
Karibu Dr slaa 2015.

asanteni.
 
Ndugu wana jf habarini na poleni na uchaguzi wa kalenga.

Hoja yangu ipo au inalenga ikulu...
Hiki ni chombo kilichojipatia hadhi kubwa sana enzi za mwl nyerere kipindi hichooo.

Sasa hadhi yake imeshuka kutokana na walanguzi wa uongozi kutinga pale... kila mtu anataka kuwa rais mf; deogratius yule wa nccr eti nae ana ndoto za urais.

Kwakweli wenzetu hawa wamepafanya paonekane kama ni pango la walanguzi hawa akina dovutwa hata kifikra tu ni wachanga sana nao wanalilia pale.
Ikulu jamani panawaziwa sasa na wendawazimu.

Iacheni ikulu yangu ya nyerere ipate hadhi yake...
Karibu Dr slaa 2015.

asanteni.
wazinz kama huyu dr wako ni machukizo patakatifu pa ikulu na mbingun
 
Funguka mkuu.
Hueleweki sisi tunafahamu ni patakatifu.

Mkuu kuna vitu muhimu vya kuona kama sasa Ikulu yetu sio mahari patakatifu tena na hili kulithibitisha hili ni vema tukajiuliza maswali yafuatayo kulinganisha katika utawala wa hizi awamu 4, je haya nitakayo yaorodhesha hapa chini yaliisha fanywa na hawa viongozi wa awamu 3 zilizopita?

1. Kutumia fedha za Ikulu kumtibu Teja na kumkaribisha Ikulu ili akupongeze kwa kupona kwake na huku huyo Teja hajachukuliwa hatua zozote ili aweze kutaja waliokuwa wakimuuzia hayo madawa ya kulevya ili wakamatwe.

2. Kualika IKULU mateja wote wa Dar ili kuja kusherehekea hapo ikulu na kula bata kwa fedha za Watanzania.

3. Kualika wanamuziki wa Bongoflava na Bongomovie eti kuwafuturisha huku 90% ya hao walioalikwa hawakufunga je hata kama ni thawabu zinapatikana kweli?

4. Ziara ya Bush na Obama tulishuhudia IKULU yetu wakiachiwa waitawale kwa muda je hii ni halali?
 
Wandugu leo nimezisikiliza tena na kutafakari kauli hii ya Hayati Baba wa taifa nikagundua kuwa zilikuwa na uzito mkubwa sasa na hasa kwa kipindi hiki cha mpito.
Kwa kiongozi mwenye dhamira ya dhati kwa wale anaowangoza huingia katika viatu vyao na kujua shida zao na namna ya kuzitatua.
Swali:Hivi kweli leo tuna viongozi bora au tuna bora viongozi?
Hivi rais Kikwete anaweza kutoa kauli kama hii?
 
Hawezi, ila atawaambia wanaotaka kuingia Ikulu kuwa pale kuna asali na mane mane zile za kwny bible
 
Back
Top Bottom