Kama hayo yanatoka moyoni kwake n kwanini aliacha ubnge na kujarbu kukimbilia Ikulu? "Watu wanao kimbilia ikulu tuwangope kama UKIMWI"
"Mimi sikuchaguliwa na watanzania ili niifanye Ikulu kuwa Pango la wanyanganyi"
Mwenye kuweza kuweka clip ya hotuba yake tunaomba afanye hivyo.
Pili naomba tujadili hali ya ikulu yetu, je ni pango la wanyanganyi au ni mahali patakatifu?
Baba yetu,ulitujengea taifa lisilo na ukabila japo ni taifa lenye makabila zaidi ya 120, hukuacha udini katikati yetu,ulisimamia uchumi wa nchi na ufisadi haukuonekana katika kipindi chako,ikulu yetu,wanyama wetu hawakutoroshwa kwenda nje ya nchi, hukufanya propaganda za kisiasa kama vile ikulu inavomwita Lipumba ikulu na kumpa nobel ya amani wakati huo huo ikulu haitaki kuunda tume ya kijaji kuchunguza mauaji ya Arusha kwa njia mlipuko wa bomu
Ikulu sasa ni mahara panapofanyika mikataba ya ya kuhujum madini,ges,ardhi, wanyama wa polini nk..ccm inabaka demmokrasia, polisi imeruhusiwa kutupiga tu....Baba yetu, watanzania hatupo kama vile ulivotuacha, ila tutajikomboa hivi karibuni...chama chako kitapumzika, likitimia hili, usitulaum watanzania, tupongeze kwa kurejesha heshima ya ikulu yetu.....
sema taratibu Prince Tumbo, walioko ikulu leo wanaamini kuwa nchi hii ni imara kama enzi zile za mwalimu na wana ujasiri wa kutoa kauli nzito kama hizi!
Sijui ni lini Wadanganyika mtafufuka akili zenu na kuacha kuishi chini ya uvuli wa huyu marehemu
Neno "mahari" ulikua unamaanisha "mahali"?
"Mahari" maana yake ni mali,au kitu cha thamani kitolewacho na mwanaume km ada ya kumuoa mwanamke!!!!!! MFANO mtu anaweza kutoa mahari ya ng'ombe,pesa,nk ili amuoe bint na kuwa mke wake!!
Kwahiyo neno "mahari" haliendani kabisa na muktadha uliokua unauzungumzia kwenye uzi huu!nadhan ulikusudia kuandika "mahali/mahala"
Umesahau na tozo la 'line' ya simu.
sema taratibu Prince Tumbo, walioko ikulu leo wanaamini kuwa nchi hii ni imara kama enzi zile za mwalimu na wana ujasiri wa kutoa kauli nzito kama hizi!