Kwa hiyo Julius Nyerere alikuwa anatumia chatered flights ???
Hold the presses!
The paragon of modesty and champion of the poorest of African peasants? Lived such a double life ???? Mbeba bendera ya wanyonge na masikini wa Afrika ?
Kama serikali ilitumia charted flight basi hilo ni loss kubwa zaidi maana tulili overpay hilo charted flight kwa mtu mmoja, just too big a plane! Na ni nani kalipia hilo charter flight, Nyerere kajilipia au ni kodi zetu ?? You are buttressing my point here: Reckless spending!
Halafu unaniuliza kama nilikuwa flight attendant kujua losses za ndege, flight attendant huwa anajua finances za ndege ????? Losses za kampuni, mishahara na posho za crew wenzie, landing fees, mafuta, vibali na leseni vimelipiwa shiing ngapi mwezi huu na ule, anajua ????
Sitegemei kiongozi wa third world, no less Julius Nyerere, atumie chartered flights au dege la Rais. Wasteful spending. Halafu waje watuambie hawana hela ya school lunch programs ? Tukaombe USAID ?