bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kwani Nyerere alikuwa ameenda Uganda hiyo Julai ya 1988 kama nani? Rais wa Tanzania? Mwenye kiti wa CCM? Mwenye kiti wa South Commission? Mwakilishi wa Tanzania? Au mgeni mwalikwa / wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni na chama chake cha NRM?Kwa hiyo Julius Nyerere alikuwa anatumia chatered flights ???
Hold the presses!
The paragon of modesty and champion of the poorest of African peasants? Lived such a double life ???? Mbeba bendera ya wanyonge na masikini wa Afrika ?
Kama serikali ilitumia charted flight basi hilo ni loss kubwa zaidi maana tulili overpay hilo charted flight kwa mtu mmoja, just too big a plane! Na ni nani kalipia hilo charter flight, Nyerere kajilipia au ni kodi zetu ?? You are buttressing my point here: Reckless spending!
Halafu unaniuliza kama nilikuwa flight attendant kujua losses za ndege, flight attendant huwa anajua finances za ndege ????? Losses za kampuni, mishahara na posho za crew wenzie, landing fees, mafuta, vibali na leseni vimelipiwa shiing ngapi mwezi huu na ule, anajua ????
Sitegemei kiongozi wa third world, no less Julius Nyerere, atumie chartered flights au dege la Rais. Wasteful spending. Halafu waje watuambie hawana hela ya school lunch programs ? Tukaombe USAID ?
Kwani mgeni mwalikwa analipiwa usafiri na mwenyeji?Kwani Nyerere alikuwa ameenda Uganda hiyo Julai ya 1988 kama nani? Rais wa Tanzania? Mwakilishi wa Tanzania? Au mgeni mwalikwa / wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni na chama chake cha NRM?
Kwa nini mgeni mwalikwa ambaye ni mstaafu asilipiwe usafiri na aliyemwalika?Kwani mgeni mwalikwa analipwa usafiri na mwenyeji?
Kwa hiyo Samia juzi alipoalikwa Italy akaenda na ATC unadhani alitanguliziwa hela ya mafuta na Italy ?
hahahahaaaaa
Kwa nini mgeni mwalikwa ambaye ni mstaafu asilipiwe usafiri na aliyemwalika?
Kwani ndege ikiwa na bendera ya Tanzania haiwezi kukodishwa na Waganda imbebe mgeni wao?Kwa sababu ndege ilikuwa na bendera ya Tanzania.
Mu7 hakutuma ndege.
Do you think Museveni alilipa hela ya mafuta na manhours za crew kwa ndege ya Tanzania ?
Kwani ndege ikiwa na bendera ya Tanzania haiwezi kukodishwa na Waganda imbebe mgeni wao?