Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Kaambiwa na sheikh Mazinge na Dr Sulle.Mwanza (Kanda ya ziwa), Mbeya (Nyamda za juu kusini),Arusha (Kanda ya kaskazini) majority wanajulikana na Dar ni 50/50 sasa huo wingi wao unatoka wapi.Kiukweli mikoa yenye waislamu wengi ni Lindi,mtwara,pwani,Tanga,Tabora na kigoma sasa hiyo 68% walifikaje?