othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Kwako unaona usalama kama ndio miungu vile. Wkt nao ni binadamu kama wwMbona Malecela pia alikatwa, nyinyi ndio mnalaumu usalama hawafanyi kazi lakini mnasahau wagombea wote taarifa zao za Siri zilikuwa zikijulikana
Na siku hizi waliokubali huo upumbavu ili wasionekane wezi,au fisadi, ndo hawa wamekubali kuitwa wanyonge.Kumbe hii kasumba ya mwenye pesa kuonekana mwizi imeanza kututafuna miaka mingi sana, kama unaamini mtu ameiba, na ushahidi unao, mpeleke mahakamani, shida iko wapi?!
Lakini kumnyima haki zake kwa madai ya kihisia, kwasababu tu anaonekana ana pesa ni kumuonea. Lowassa amevumilia mengi toka kwenye jamii ya kishamba iliyokuwa nyuma ya fikra zake za mitikasi ya kujitafuta maishani.
- Jamii inayoona umaskini ni sifa, ndio maana utaskia fulani akijiita mimi mtoto wa maskini. Usipokuwa jasiri mtanzania unaweza kuacha kupambania maisha yako kwa kuogopa kuitwa mwizi!.
Ajabu kuanzia miaka hiyo mpaka miaka ya karibuni bado akawa anaitwa fisadi, kumbe tumerithi tabia ya kuhukumu kwa hisia bila udhahidi toka enzi za Nyerere, tukawa bado tunaishi nayo mpaka sasa, hili ni tatizo la jamii ya kitanzania - awe mpinzani au chama tawala.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Alikua msengeh flan hiviMwalimu alichukia wenye nacho. Alifikia kutamka kwamba mtu kuwa na nyumba za kukodisha ni unyonyaji. Kwa hoja hii akahalalisha kuchukua nyumba za watu.
Umaskini unakusumbuaacha kujitoa akili na hizi diversion tactics, unaleta mbanga za waisrael ukipinga uhalifu wao, wanakulabel antisemite. Hakuna mtu mwenye shida na utajili wake, bali wizi wa mali za umma na wakihojiwa, madalali wanufaika wa michongo yao kama wewe, mnatetea kuwa watu wanachuki na matajiri. Yule chenge watu wakihoji wizi wake, ndio inakua wanamchukia kisa yeye tajiri. Mtu anayemtetea fisadi kama wewe mnapaswa kuchukiwa na kuadhibiwa vikali.
Wote wapigaji tu. EL alikuwa haogopi tu. Wenzie wakipiga heka 5, yeye anakimbia na 1000.EL alikuwa mpigaji tofauti na wapigaji wengine??
Sio kweli.hakuwa mwenyekiti wa cc.Nyerere alikuwa Ni mwenyekiti wa CC
Wewe ni lofa wa akili!Umaskini unakusumbua
Kura zilitangazwa,nyie vijana mnakwama wapi?,mbona mnaongea na kuandika vitu visivyokuwepo?We unahisi kwanini Kipind hicho lawama zilienda kwa Nyerere zote watu wakawa wanamsema katumia Vigezo gani kumkataa Lowasa..
Na baadae Team.ya ENL ikahamia kwa JK..
Akashtuka Pia na ndo maaana Inasemekana hata JK alishinda Mwaka 1995 ila Matokeo akapewa Ben na hata Kama unakumbuka Kura hazikutangazwa ila alitangazwa mshindi wa kwnza mpaka wa tatu bila kura zao
Alikuwa mwizi.mbona watu hamtaki kuelewa?!.Alikuwa mwizi au Tajiri kuna vitu huwa hamvielewi..
Kulikuwa na pesa gani Huko CCM kipind cha TANU za kuibiwa
Unachanganya kati ya CC na NECSio kweli.hakuwa mwenyekiti wa cc.
Mkuu Mwaka 1995 nilikuwa ni kijana Safi na mdogo na nilikuwa UVCCM safi kabisa nikiwa na miaka 23..Kura zilitangazwa,nyie vijana mnakwama wapi?,mbona mnaongea na kuandika vitu visivyokuwepo?
Sasa nimeweka Hoja Nyepesi sana Mezani Nionyeshwe wizi wake lakini hamtaki kuonyesha..Alikuwa mwizi.mbona watu hamtaki kuelewa?!.
SHERIA ya PCCB na ya Maadili ya Viongozi inapinga "mitikasi ya kujitafutia maishani," ambayo serikali haiijui.jamii ya kishamba iliyokuwa nyuma ya fikra zake za mitikasi ya kujitafuta maishani.
Wengi washindwa kuelewa kwamba marehemu Lowasa alianza kushika pesa akiwa kijana sana.SHERIA ya PCCB na ya Maadili ya Viongozi inapinga "mitikasi ya kujitafutia maishani," ambayo serikali haiijui.
Ndo maana:
1/ kuonekana na mali kuliko salary scale yako ni reasonable suspicion ya ku justify wewe kuchunguzwa na PCCB
2/ kiongozi anataja utajiri na umaskini wake siku anaingia, na kila mwaka. Taja tukujue.
Huwezi kuwa na dhamana ya kusaini mabilioni ya manunuzi na mikataba ya umma, na kugawa mapande ya nchi kwa wawekezaji halafu tunakuona una ma mabilioni ya mali, ukiulizwa kwenye vikao vya michujo ya chama unasema nina "mitikasi ya kujitafutia maisha." Itaje ! Tuonyeshe ankara za mitikasi yako, sina, mitikasi yangu ni halali lakini ni ya juu kwa juu, mkono kwa mkono, inafanyika mahotelini na kwenye simu, na ma njiani, hakuna registered business. Ahaaa, kwa hiyo hulipi kodi ya mapato wanayolipa wenzio Kariakoo? Oooh, naonewa!
Wewe usiyeheshimu sheria ndio mshamba! NI SHERIA.
mimi sitoi taarifa bali nakumbusha matukio. Kama kwako ni news zinazohitaji ushahidi jikalie kimyaMbona hauja sema aliiba nini zaidi ya kusema alifukuzwa,weka ushaidi wa wizi wake sio porojo.
ungemuuliza Sokoine ni kitu gani alifanya Lowassa akaletwa Dar kijiweni mpaka akaombewa msamaha ndio akarudishwa kundini. Nyerere alishamuwekea X huyu mwizi siku nyingi. Japo simuungi au sikumuunga mkono Nyerere kwa mambo mengi lakini hili la kufumbua macho WaTZ wengi kuhusu mfisadi Lowasa namshukuru mno. Ukweli mimi nilikuwa miongoni mwa waliomshabikia sana Lowasa 1995 lakini baada ya Nyerere kumwanika na hapo na yeye mwenyewe Lowasa kuonyesha waziwazi alivyo duuuuHahhaa Mkuu kuna vitu sio lazima kuendekeza Chuki!.
Lowasa kazaliwa mwaka 1953, Kajiunga na Tanu Youth mwaka 1965,
maana yake kajiunga Akiwa na miaka 12,Na huku akiwa Darasa la Tano au Std V..
Sasa kijana wa Darasa La tano Kaibiaje serikalli...?
Dah hata kma ni.chuki bhasi imetosha
Tukumbuke Wakati huo Wazazi wake Mzee Ngoyai alikuwa Anafanya kazi Ofiisi ya mkuu wa Wilaya ya monduli na aliachiwa mifugo ya kutosha..
Kuna vitu kuvuaminin inabidi ukose Ubongo..
Ukinionyosha Ufisadi wowote aliofanya Lowasa itakuwa poa zaidi..
Adhabu ya kutopewa cheo ilimtoshaKwanini hamkumpeleka mahakamani kwa ushahidi ili afungwe jela?
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app