Julius Nyerere: Katika Uchaguzi wa mwaka 1995, Kamati Kuu ya NEC-CCM ilikata jina la Lowassa kwa hoja

Julius Nyerere: Katika Uchaguzi wa mwaka 1995, Kamati Kuu ya NEC-CCM ilikata jina la Lowassa kwa hoja

Maneno hayo aliyasema Hayati baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alipoulizwa kwanini Kamati kuu wamekata jina la Lowasa licha ya kuwepo kwa Ushawishi mkubwa na kupendeka sana kwenye Chama hicho na Hasa kuwa na ushawishi mwingi kwa wananchi..

Kama tutakumbuka mwaka huo huo waliochukua Form walikuwa 17 na walikatwa na wakabaki 15 bora mpaka 5 bora kwa Style ya 17 -15-10-5-3-2-1..

Kama Tutakumbuka tatu Bora ya mwaka huo ilikuwa Msuya,Kikwete na Mkapa..

Na baada ya Lowassa kukatwa Jina Lake Kambi ya EL ilihamiaa kwa JK..
kwahyo kukawa na kambi tatu kambi ya JK ,Kambi ya Msuya na Kambi ya Mkapa..

Ambapo baadae mshindi alitangazwa Mkapa bila kutaja Kura walizopata Wagombea..
View attachment 2903529
Sifa wanazommiminia kina Warioba, Butiku, Rostam, Na kijana mdogo Paul Makonda ndugu Lowasa inashangaza sana kwanini hawakumruhusu kuwa Rais wa nchi hii, je ukielewa vyema kilichomuu Sokoine hutapata tabu kufahamu hilo? Acha chama lisonge
 
Ilikuwa ni Vigumu kumkwepa Lowasa kipindi hicho na kikwete kwa sababu walikuwa Wana watu wengi na makundi mengi ndani na nje ya Chama..

Kwahyo ili kupunguza makundi na maswali mengi ilibdi kuwapa hivyo vyeo kuwapoza watu..
Na ndo maana hata kina Msuya pia mshindi wa tatu nao walipewa uwaziri
Naomba nikurekebishe kidogo

1) Unasema wakati wa kumtangaza Benjamin Mkapa kuwa Mgombea Urais 1995 idadi ya kura haikutangazwa, si kweli kura zilitangazwa mara zote mbili, kwny duru ya kwanza JK aliwazidi Mkapa na Msuya na kwny duru ya Pili ya JK na Mkapa, Hayati Mkapa akaibuka kidedea

2) Cleopa Msuya hakuwa kwny Cabinet ya Mkapa na hata Edward Lowassa hakuingia kwny Cabinet kwny duru ya kwanza, baada ya miaka kama miwili ndipo Edward akateuliwa Waziri
 
Maneno hayo aliyasema Hayati baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alipoulizwa kwanini Kamati kuu wamekata jina la Lowasa licha ya kuwepo kwa Ushawishi mkubwa na kupendeka sana kwenye Chama hicho na Hasa kuwa na ushawishi mwingi kwa wananchi..

Kama tutakumbuka mwaka huo huo waliochukua Form walikuwa 17 na walikatwa na wakabaki 15 bora mpaka 5 bora kwa Style ya 17 -15-10-5-3-2-1..

Kama Tutakumbuka tatu Bora ya mwaka huo ilikuwa Msuya,Kikwete na Mkapa..

Na baada ya Lowassa kukatwa Jina Lake Kambi ya EL ilihamiaa kwa JK..
kwahyo kukawa na kambi tatu kambi ya JK ,Kambi ya Msuya na Kambi ya Mkapa..

Ambapo baadae mshindi alitangazwa Mkapa bila kutaja Kura walizopata Wagombea..
View attachment 2903529
Nimeshapeleka pingamizi kuwa huyu hafai kuwa Mtakatifu! Pingamizi wa kwanza ni ule ushirikina wa lile limzimu la "mrunda". Fitna kibao Huyu alimtesa Kasim Hanga halafu akamrudisha karume akamchinja
 
Alipokosa uaminifu akiwa Tanu Youth League sio kwamba alitajirika. Mtu asiye mwaminifu hata kalamu ya kuandikia ataisogeza tu
Hahhaa Mkuu kuna vitu sio lazima kuendekeza Chuki!.

Lowasa kazaliwa mwaka 1953, Kajiunga na Tanu Youth mwaka 1965,

maana yake kajiunga Akiwa na miaka 12,Na huku akiwa Darasa la Tano au Std V..

Sasa kijana wa Darasa La tano Kaibiaje serikalli...?
Dah hata kma ni.chuki bhasi imetosha

Tukumbuke Wakati huo Wazazi wake Mzee Ngoyai alikuwa Anafanya kazi Ofiisi ya mkuu wa Wilaya ya monduli na aliachiwa mifugo ya kutosha..

Kuna vitu kuvuaminin inabidi ukose Ubongo..
Ukinionyosha Ufisadi wowote aliofanya Lowasa itakuwa poa zaidi..
 
Alikuwa mwizi au Tajiri kuna vitu huwa hamvielewi..
Kulikuwa na pesa gani Huko CCM kipind cha TANU za kuibiwa
Watu hawajui Masai ni matajiri sana... Anafuga ng'ombe wa kutosha. Sasa kama vile lowasa alikuwa na exposure lazima Ile mifugo na mazao yake yalimletea fedha nyingi sana za kigeni.... TANU NA CCM ZILIKUWA HAZINA HELA YOYOTE YA KUIBWA...WIVU TU ULIKITHIRI KUONEA WIVU MATAJIRI NA WAJANJA
 
Lowasa alikuwa mwizi. Alipokuwa Tanu Youth League alifukuzwa kazi wakati huo akiwa kijana mdogo kabisa. Alirudishwa kijiweni makao makuu ya Chama Dar. Baadaye kina Sokoine walimtetea Lowasa kwa Mwalimu Nyerere na aliposamehewa akarudishwa kundini. Lowasa alikuwa mwizi na fisadi toka enzi
Mbona hauja sema aliiba nini zaidi ya kusema alifukuzwa,weka ushaidi wa wizi wake sio porojo.
 
Kule Mbulu walimkataa mgombea wa Nyerere na kumchagua mgombea binafsi. Hata hiyo 1995 jina la Dr Slaa lilikatwa akahamia CHADEMA na kushinda. Hayati Mwalimu alikuwa na ishu za kiwaki sana linapokuja suala la uchaguzi.
Na ndo mwasisi wa kupindua matokeo ya chaguzi ndani ya taifa hili pale ambapo hayakwenda kulingana na maono yake.
 
Kumbe hii kasumba ya mwenye pesa kuonekana mwizi imeanza kututafuna miaka mingi sana, kama unaamini mtu ameiba, na ushahidi unao, mpeleke mahakamani, shida iko wapi?!

Lakini kumnyima haki zake kwa madai ya kihisia, kwasababu tu anaonekana ana pesa ni kumuonea. Lowassa amevumilia mengi toka kwenye jamii ya kishamba iliyokuwa nyuma ya fikra zake za mitikasi ya kujitafuta maishani.

- Jamii inayoona umaskini ni sifa, ndio maana utaskia fulani akijiita mimi mtoto wa maskini. Usipokuwa jasiri mtanzania unaweza kuacha kupambania maisha yako kwa kuogopa kuitwa mwizi!.

Ajabu kuanzia miaka hiyo mpaka miaka ya karibuni bado akawa anaitwa fisadi, kumbe tumerithi tabia ya kuhukumu kwa hisia bila udhahidi toka enzi za Nyerere, tukawa bado tunaishi nayo mpaka sasa, hili ni tatizo la jamii ya kitanzania - awe mpinzani au chama tawala.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hata asingevumilia kwani angefanya kipi? Ushawishi watu Kwa pesa harafu uje useme unakubalika?

Kila siku Huwa nawaambia hata humu kwamba System haiwezi kukubali kumpoteza Kiongozi aliyeleta mapinduzi makubwa kwenye nyanja zote za Uchumi kisa eti nyie hamumkubali.Hapa namzungumza Samia.

Nyie pigeni kampeni mnazoweza,andamaneni,wekeni Kila fitna ila Rais ni Samia Hadi 2030.
 
Lowasa alikuwa mwizi. Alipokuwa Tanu Youth League alifukuzwa kazi wakati huo akiwa kijana mdogo kabisa. Alirudishwa kijiweni makao makuu ya Chama Dar. Baadaye kina Sokoine walimtetea Lowasa kwa Mwalimu Nyerere na aliposamehewa akarudishwa kundini. Lowasa alikuwa mwizi na fisadi toka enzi
Kwa nini hakufukuzwa kabisa chamani au serikalini? Kwa nini hakuwahi kufikishwa mahakamani kufunguliwa kesi?
 
Back
Top Bottom